Nina hamu ya kuchat leo..
Lete ubuyu sasaNina hamu ya kuchat leo..
Mwambie asisahau na ugoro kidogo, wengine meno ya kutafuna ubuyu hakuna.Lete ubuyu sasa
Ubuyu sio kwamba ungemuomba warumi ndie mwenye mtamu tena wa Dodoma. hahahahahahaLete ubuyu sasa
Amesikia ngoja tumsubiriMwambie asisahau na ugoro kidogo, wengine meno ya kutafuna ubuyu hakuna.
Umeamua kulea haswaaumeona ee,, yaani hadi sio vizuri