Arushaone kwema shemegi?
hujambomiss u four
kweli kaka ujue natamani wanataaluma wavumbue chakula ambacho ukila leo mpaka mwakani ndo unasikia njaa tena haya matumbo yanatutenganisha sana.Long time my broda
heeee shem Arushaone sa ndo nini kutoniambia kuwa kuna kamtoto huko wakati
niko brazilika namalizia maumivu ya waafrika kutoonekana tena worldcapulika?
hata kunibeep shem uniambie kuwa kashangazi kamekuja duniani.
namna gani bhana ngoja nimalizie nngwe ya kesho ya fainalika nikija tz
napitia kili kabisaaaa kukaona kashangazi