Nimewamiss sana wote!

Nimewamiss sana wote!

Arushaone

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2012
Posts
15,235
Reaction score
13,539
Ninawapenda wote. Si-mention yeyote, I missing y'all.
 
heeee shem Arushaone sa ndo nini kutoniambia kuwa kuna kamtoto huko wakati
niko brazilika namalizia maumivu ya waafrika kutoonekana tena worldcapulika?
hata kunibeep shem uniambie kuwa kashangazi kamekuja duniani.
namna gani bhana ngoja nimalizie nngwe ya kesho ya fainalika nikija tz
napitia kili kabisaaaa kukaona kashangazi
 
Last edited by a moderator:
hongera nami nimekumiso shem
mwambie kashangazi kangu kuwa 5.jpg nitakaweka kwenye whatsapp
Ninawapenda wote. Si-mention yeyote, I missing y'all.
 
Hawajambo wote huko ulikokuwa?
Mkeo naye haonekani huku.
 
heeee shem Arushaone sa ndo nini kutoniambia kuwa kuna kamtoto huko wakati
niko brazilika namalizia maumivu ya waafrika kutoonekana tena worldcapulika?
hata kunibeep shem uniambie kuwa kashangazi kamekuja duniani.
namna gani bhana ngoja nimalizie nngwe ya kesho ya fainalika nikija tz
napitia kili kabisaaaa kukaona kashangazi

Usijali shem hata faini nitalipa tu haliharibiki nuno.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom