Nimevutiwa na house girl

Wallet umeongea kitu kimoja muhimu sana, kuwa unaogopa usije kufuata channels zote hizo halafu ukaja kugundua kuwa kumbe binti labda hutaweza kuwa nae... nina mfano kama huo, wakati tuko wadogo tulikuwa na msichana msaidizi wa kazi za ndani (kama unvyoita wewe HG) mmoja, basi akatokea jamaa akajidai anataka kumchumbia, akaja home akajitambulisha kabisa, sasa wakati mama yangu anafanya mipango ya kuwasiliana na wazazi wa yule msichana jamaa akawa kumbe ana chakachua, mara jamaa akamtosa yule binti. You know what happened yule binti akachangayikiwa akataka mpaka kunywa sumu, mara akawa muhuni sana na hakuwa hivyo before, yaani vijana mtaani walitungua mpaka ikawa noma, ikabidi arudishwe kwao, tulikuja kupata taarifa kuwa alikufa kwa ukimwi. Ilinisikitisha sana kwani hakuwa hivyo kabisa na linilea vizuri sana.
Sasa mzee ushauri wangu hapo ni kuwa, labda wewe kiaina mtafute mwenyewe kwa muda wako, yaani isiwekwe rasmi sana kwani na yeye anaweza kujipa hope.. jamaa yako atengeneze mazingira tu kiujanja ili wewe uweze kuongea nae na kumpima.
I hope hiyo itasaidia.

nami nahofia hayo mkuu. Tatizo informal channels ni imposibo. Ni bora pia wangekuwa majirani
 
Mahause geli ni wife material asikuambie mtu. kwanza wanajua kupika, kuweka nyumba safi nk.

kazi ni kumsihi awe sopusopu tu zaidi.
 
nami nahofia hayo mkuu. Tatizo informal channels ni imposibo...Ni bora pia wangekuwa majirani

...Distance is not a barrier. Ndugu yangu Wallet, show your love with sacrifices kama kweli unampenda as described. Nothing is impossible with love.
 
Yaani nimemtembelea rafiki yangu leo hom kwake kwa ishu za kimikakati. Sasa nikiwa pale nikamwona binti wa kazi. Aisee yuko mzuri. Sasa roho ya kumpenda (sijui kumtamani) ikaniingia. Mie bachela. Kila akipita namcheki kwa umakini na tathmini. Hana maringo, hajishaui. Uzalendo ukanishinda nikamjulisha mwenyeji kuwa nataka kumsoma akili huyu binti kupima ufahamu wake ili ikiwezekana awe mwandani. Jamaa akaniambia kama ni kwa wema utazungumza nae. Mtoto wa kisukuma, mrefu hivi. Maji ya kunde. Anavutia. Ni type ninayotaka. Nikawa najiuliza moyoni, je namhitaji? Elimu yake haitanipa mushkeli? Japo nimewazia kumuendeleza iwapo uzalendo utanishinda. Mi nina shahada. Napanga kumwambia jamaa amweleze ili nipate wasaa nae wa kutosha jmosi (si kingono) kumsoma na kuona upeo wake wa ufahamu na kama anaendelezeka maana siwezi kuwa nae kwa elimu yake. Nafsi nyingine inaniambia nipotezee tu na kumtafuta wa class yangu. Wenye maujuzi na mawazo kuhusu hili uwanja ni wenu

...mapenzi sawa na majani, huoteshwa popote.
'zuka nae tu, mwana wa mwenzio kizushi!'
 
Yaani nimemtembelea rafiki yangu leo hom kwake kwa ishu za kimikakati. Sasa nikiwa pale nikamwona binti wa kazi. Aisee yuko mzuri. Sasa roho ya kumpenda (sijui kumtamani) ikaniingia. Mie bachela. Kila akipita namcheki kwa umakini na tathmini. Hana maringo, hajishaui. Uzalendo ukanishinda nikamjulisha mwenyeji kuwa nataka kumsoma akili huyu binti kupima ufahamu wake ili ikiwezekana awe mwandani. Jamaa akaniambia kama ni kwa wema utazungumza nae. Mtoto wa kisukuma, mrefu hivi. Maji ya kunde. Anavutia. Ni type ninayotaka. Nikawa najiuliza moyoni, je namhitaji? Elimu yake haitanipa mushkeli? Japo nimewazia kumuendeleza iwapo uzalendo utanishinda. Mi nina shahada. Napanga kumwambia jamaa amweleze ili nipate wasaa nae wa kutosha jmosi (si kingono) kumsoma na kuona upeo wake wa ufahamu na kama anaendelezeka maana siwezi kuwa nae kwa elimu yake. Nafsi nyingine inaniambia nipotezee tu na kumtafuta wa class yangu. Wenye maujuzi na mawazo kuhusu hili uwanja ni wenu


nenda ukaombewe ukianza hao hata umuoe utavuta hgirl wa ndani,,,na kama ukiondoka hiyo ni kizazi mpaka kizazi omba sana mkuu u jacehelewa
 
Yaani nimemtembelea rafiki yangu leo hom kwake kwa ishu za kimikakati. Sasa nikiwa pale nikamwona binti wa kazi. Aisee yuko mzuri. Sasa roho ya kumpenda (sijui kumtamani) ikaniingia. Mie bachela. Kila akipita namcheki kwa umakini na tathmini. Hana maringo, hajishaui. Uzalendo ukanishinda nikamjulisha mwenyeji kuwa nataka kumsoma akili huyu binti kupima ufahamu wake ili ikiwezekana awe mwandani. Jamaa akaniambia kama ni kwa wema utazungumza nae. Mtoto wa kisukuma, mrefu hivi. Maji ya kunde. Anavutia. Ni type ninayotaka. Nikawa najiuliza moyoni, je namhitaji? Elimu yake haitanipa mushkeli? Japo nimewazia kumuendeleza iwapo uzalendo utanishinda. Mi nina shahada. Napanga kumwambia jamaa amweleze ili nipate wasaa nae wa kutosha jmosi (si kingono) kumsoma na kuona upeo wake wa ufahamu na kama anaendelezeka maana siwezi kuwa nae kwa elimu yake. Nafsi nyingine inaniambia nipotezee tu na kumtafuta wa class yangu. Wenye maujuzi na mawazo kuhusu hili uwanja ni wenu


inaonekana wewe ndio yule fataki tunayemuonaga kwenye mitivii
 
KakaJambazi

Wee acha tu kuna jamaa yangu mmoja yalimkuta haya majaribu, mke wake alikuwa naye anafanya kazi sasa njemba ikirudi kutoka kazini mama anamtazama tu. Sasa house girl anakuja baba maji ya kuoga tayari na taulo kmletea, kabla hajanyanyuka au baba upate baridi moja kwanza? basi jamaa anaenda kuoga anarudi, baba chakula tayari, karibu mezani. Looh jamaa mwishoe akasema jamani huyu si ndo mke? sasa huyu mke wangu yaani hata kunijali haonyeshi, si jamaa uzalendo ukaanza kumshinda?

Jamaa akaanza kutafuna taratibu na kufuta mdomo kabisa asijulikane supu analamba wapi.
 
Back
Top Bottom