MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
nimeamua tu kupost mnipe maneno ya faraja nimevunjika moyo tena na tena,
hivi ,nianzie wapi na niishie wapi?Niliyedhani twaweza pendana milele na milele kanitamkia wazi haoni connection between us, hivi kwa nini mapenzi hayako fair?
Nawakilisha mnipe moyo ndugu yenu ......... ahsanteni
Dinnah
hata sijui nisemeje.......... Hivi ulishajikuta siku unaamka na furaha saaana kwa kuwa tu unahisi una amani ya moyo? halafu ghafla unapata habari ya kusikitisha?? ndicho kilichonitokea leo. Pole dada ila tambua kama alivyosema mayassa kila jaribu hutokea kwa sababu na every disappointment is a blessing.............. nakuul;iza tu swali dogo but jibu lake litaniweka wkenye nafasi nzuri ya kushare niliyo nayo.
.......Huyu bwana kipofu asoona connection (whatever that means to him) kati yenu...........ni mchumba, boyfriend au Mume??
Tafadhali turuhusu tushee machungu yako.