Yaa najua bcz nishamchukulia mtu demu wake tulikutana tu chuo sasa ile kampan nn kila saa mnaonana anakuja rum kwangu mm naenda rum kwake pia kwahyo demu akampotezea sana jamaa na nilivyomchoka nikanyaka mwngne na yy kachukuliwa tena na jamaa mwngne pale chuo kaachwa tena ndio akili inamrud kwa jamaa yake wa kitaa usiumie sana kuhusu kumegewa nikawaida km bd hujamuoa ukishaoa ndio unaweza kumlinda km unavyofanyaAsante mkuu kwa ushauri!unayosema ni kweli jamaa ni group mate wapo discussion group moja