Nimeumia sana

Nimeumia sana

Hahaha mkuu me kimeniuma sana icho kitendo cha kuniandaa afu mtu anavaa anaondoka jaman ata jambazi hawezi kukufanyia ivi

am better here
Pole sana ila umeamsha vilivyolala, mpaka sasa ni vijana wangapi wanakusumbua PM? hebu screen shot weka hapa, tuone utumbo wanaongea huko
 
Pole sana ila umeamsha vilivyolala, mpaka sasa ni vijana wangapi wanakusumbua PM? hebu screen shot weka hapa, tuone utumbo wanaongea huko
Hahaha hapana mkuu naheahimu privacy ya mtu

am better here
 
Wala hujakoseaaa, Kitu kimoja wanaume ambacho hatutakaa tukiweze, ni kutumia Mashine na akili kwa wakat mmoja...hapo tulishaga feli yaaan.

So kwa habar km hii aaahhhhhh,, ujakosea, umeiweka kwa wajenzi
Shukrani mkuu ur kinda goodguy nimekupenda bure

am better here
 
Wakuu habarini nimekuja kutolea machungu yangu hapa......
Ivi inakuaje mwanaume mnaandaana vzuri kabsa kwajili ya mgegedo afu mwanaume unaghairi na ukiangalia nna minyegezi imejaa yaan dah yaan mtu kabsa anakukatili anavaa anaondoka like serious!!!! Wakati uo yeye akibanwa na nyegezi anytime anapewa wakuu co siri imeniuma sana...

am better here
Dah fursa hii ngoja niiwahi
 
Hahaha lol...anataka tuvunje ndoa za watu huyu....

am better here
Mara mia hata ingekua ndoa , vyenye nazugaga mie mgumu , alafu ndo nmekupm ivo , then uzilete hapa

Weeeeeeee nitajiweka nje na JF kwanza ili mambo yapoe, alafu hapo na mzigo umeukosa chaaaaaa...unaweza jilaan
 
Back
Top Bottom