Nishory ndefu in short
Wakuu heshima kwenu Nina umri wa miaka 23 kwa kweli kuna mambo yananichanganya sana mpaka najiona sina bahati ya binti wa kujenga nae maisha,nilikuwa na mchumba ambae nilimpenda sana nilidumu nae kwa mda wa mwaka 1 tuliachana kwa maneno ya watu ,baada ya miezi nikampata mwengine ambaye nilimpata mkoani tanga nilikwenda likizo kusalimia wakati narudi dar (nyumbani)yeye alikua tanga akisoma ila kwao ni dar kikapita kipindi kirefu bila wasiliana kutokana sikua nasimu wala yeye ila nilikua nikimtaja sana na kumwaza pia baada ya mwaka mmoja maisha kusonga nikajikuta nikidondokea kwa binti mmoja ambaye nilisomanae shule ya msingi sikudumu nae ni miezi miwili tukaachana kikweli nimeshakua na wasichana zaidi ya 5 huwa wananiacha hata bila kugombana,Umri unaenda nahitaji kuwa na familia yangu ila sijapatmwanamke aliyesiriazi na maisha. anayeeleweka sababu huwa wanabadilisha uamuzi wao mwishoni?nanina fanyakazi ni mtu wakipato cha kawaida
Mbaya zaidi.
Mwakajana katika pitapita zangu nikakutana na yule binti niliye kutana nae tanga nilimuacha akisoma kwasasa ni mwalimu wa kindagadn10 nkajaribu kumweka sawa akadaia ana MTU wake kwasasa ila baado yupo moyoni mwangu nampenda akakataa kwasasa tunawasiliana kama kaka na dada
Au nitakuwa nimeumbwa niwe single tu nini?
if there is a problem, try adjusting human life[emoji12]
Ushauri matusi no