Nimetokea kumzimikia founder wa JF! Seriously is this normal other JF ladies!?

Status
Not open for further replies.

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,111
Hi Guys!

Niende direct kwenye mada, mie ni mgenu humu jf, baada ya kujiunga na kuukubali huu mtandao nikawa na hamu ya kujua historia yake.

Katika peruziperuzi zangu ndo nikakutana na habari za maxence, baasi nimetokea kumzimia kweli huyu founder, simjui hanijui ila i always think about him toka nimfahamu habari zake. Believe it or not nimesoma post zote zinazomuhusu. Ifind everything abt the dude so sexxxy! hata kama ni mambo ya CDM jst imagine!! Bora hajaweka pic manake ingekuwa noma! I have a :mwaaah:big crush on the dude!!!

Najua wasoma risala na barua kwa mgeni rasmi wa humu jf mtaanza ohhh we mtoto wa kike haipendezi kumtongoza mwanaume blah blah blah! Leave me alone i beg ohhhh!

Seriously sasa mnanishaurije manake niliona nikimtokea privately akija kuniumbua huku mtafanya BIG DEAL bora nimuapproach hukuhuku jamvini mbele yenu ili isiwe breaking news.

Kutongoza kaumbiwa mwanaume (kumbe mnapataga tabu kutema mistari) mie wa kike nimedakia tu bt Maxence please if you are interested PM, na kama haupo interested hata match za ugenini/nje poa tu all you have to do is to PM me.

NB: Hizi ni hisia zangu tu DONT BAN ME! kupendwa bahati ati!:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Akikubali siemi ng'oooooo siri yetu
 
Infidelity is inevitable. Navyomjua mke wa Maxence Melo, kuna hatari mtu akatolewa ngeu hapa. Ngoja tumsubiri aliyedondokewa atachukua hatua gani kwenye hii bahati ya mkenge. Hivi hakuna mdada wa JF aliyenidondokea mimi nikado naye the needful. PM inbox yangu iko wazi incase of.....
 
Last edited by a moderator:
Geez! Labda mechi za nje, mwenzio keshatwaliwa. Kalaghabao!
I have a confession of mi own i used to have a ka krashi kwa kigogo moja wa humu but that was ages ago and i was still youngish....thank God i got over it, so stupid
 
Geez! Labda mechi za nje, mwenzio keshatwaliwa. Kalaghabao!
I have a confession of mi own i used to have a ka krashi kwa kigogo moja wa humu but that was ages ago and i was still youngish....thank God i got over it, so stupid


Ukimuondoa Max kigogo mwingine ni Mwanakijiji......lol
opps....
 
Infidelity is inevitable. Navyomjua mke wa Maxence Melo, kuna hatari mtu akatolewa ngeu hapa. Ngoja tumsubiri aliyedondokewa atachukua hatua gani kwenye hii bahati ya mkenge. Hivi hakuna mdada wa JF aliyenidondokea mimi nikado naye the needful. PM inbox yangu iko wazi incase of.....

Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
 
Kwa great thinker kama mimi najumuisha kuwa aliyependwa sio Max bali kazi na post zake za JF ("katika peruziperuzi zangu ndo nikakutana na habari za maxence, baasi nimetokea kumzimia kweli huyu founder" na hii "simjui hanijui ila i always think about him toka nimfahamu habari zake. Believe it or not nimesoma post zote zinazomuhusu. Ifind everything abt the dude so sexxxy!"). Mpendaji anajua kupenda maana yake MECHI ("hata match za ugenini/nje poa tu")tu. Mpendaji anaendeshwa na hisia za watu na si za kwake ( "..niliona nikimtokea privately akija kuniumbua huku mtafanya BIG DEAL bora nimuapproach hukuhuku jamvini mbele yenu ili isiwe breaking news"). Kiufupi hafai kuwa mke/ mchumba wala hawala. Kumpa mojawapo ya hizo nafasi ni sawa na kujitwisha gunia la *****. Max chagua kusuka au kunyoa...
 
Geez! Labda mechi za nje, mwenzio keshatwaliwa. Kalaghabao!
I have a confession of mi own i used to have a ka krashi kwa kigogo moja wa humu but that was ages ago and i was still youngish....thank God i got over it, so stupid

Nadhani atakuwa hommie wangu Kaizer.
 
Last edited by a moderator:
Kwa great thinker kama mimi najumuisha kuwa aliyependwa sio Max bali kazi na post zake za JF ("katika peruziperuzi zangu ndo nikakutana na habari za maxence, baasi nimetokea kumzimia kweli huyu founder" na hii "simjui hanijui ila i always think about him toka nimfahamu habari zake. Believe it or not nimesoma post zote zinazomuhusu. Ifind everything abt the dude so sexxxy!"). Mpendaji anajua kupenda maana yake MECHI ("hata match za ugenini/nje poa tu")tu. Mpendaji anaendeshwa na hisia za watu na si za kwake ( "..niliona nikimtokea privately akija kuniumbua huku mtafanya BIG DEAL bora nimuapproach hukuhuku jamvini mbele yenu ili isiwe breaking news"). Kiufupi hafai kuwa mke/ mchumba wala hawala. Kumpa mojawapo ya hizo nafasi ni sawa na kujitwisha gunia la *****. Max chagua kusuka au kunyoa...


salosalo na wewe kama mtoto vile! hizo zingine intro tu ila MAIN TOPIC UMEISOMA! Hizo stori zingine zunguka mbuyu tu au uiltaka niandike kiutu uzima?? GROW UP! Kama kina the boss na asprin dont be so tight on everything!! huku sio jukwaa la siasa wa uchambuzi wa uandishi wa thread
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom