Nimetokea kumzimikia founder wa JF! Seriously is this normal other JF ladies!?

Status
Not open for further replies.
Ungekuwa uko singo mbona mie ningejilipua kwako nikamtaliki Paw? Ila na wewe una wake wengi sana bana, kukufanyia wewe kampeni ni presha sawa tu na kumfanyia kampeni baba rizmoko na linyinyiemu lake!
Ayaaaaaaaaaaa! Ndio nini kuharibiana CV namna hii?

BTW: I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it
 
Dada nakushauri uwahi kwa Kakobe, Rwakatare au Mwingira ili uombewe hilo pepo linalokusumbua. Utamzimikiaje mtu ambaye humfahamu wajihi wake kwa maana hiyo hujui kama "is your type" !!. Labda tu, nikuulize swali, je yule uliye naye anafahamu swala hili ? Sikatai kwamba mtu huwezi kumdondokea mtu, lakini mpaka uwe umemwona kwanza.
 
Hi Guys!

Niende direct kwenye mada, mie ni mgenu humu jf, baada ya kujiunga na kuukubali huu mtandao nikawa na hamu ya kujua historia yake.

Katika peruziperuzi zangu ndo nikakutana na habari za maxence, baasi nimetokea kumzimia kweli huyu founder, simjui hanijui ila i always think about him toka nimfahamu habari zake. Believe it or not nimesoma post zote zinazomuhusu. Ifind everything abt the dude so sexxxy! hata kama ni mambo ya CDM jst imagine!! Bora hajaweka pic manake ingekuwa noma! I have a :mwaaah:big crush on the dude!!!

Najua wasoma risala na barua kwa mgeni rasmi wa humu jf mtaanza ohhh we mtoto wa kike haipendezi kumtongoza mwanaume blah blah blah! Leave me alone i beg ohhhh!

Seriously sasa mnanishaurije manake niliona nikimtokea privately akija kuniumbua huku mtafanya BIG DEAL bora nimuapproach hukuhuku jamvini mbele yenu ili isiwe breaking news.

Kutongoza kaumbiwa mwanaume (kumbe mnapataga tabu kutema mistari) mie wa kike nimedakia tu bt Maxence please if you are interested PM, na kama haupo interested hata match za ugenini/nje poa tu all you have to do is to PM me.

NB: Hizi ni hisia zangu tu DONT BAN ME! kupendwa bahati ati!:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Akikubali siemi ng'oooooo siri yetu

umefunguka mwayego!ah cha kufia nini bana?
 
Ohhh poor you its too late!!!He is happily married.
Labda uwasiliane na akina MBA maarufu kama babu Asprin
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom