Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,482
- 9,517
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
Hujakijua kibabu hicho wewe!
Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi.
Ayaaaaaaaaaaa! Ndio nini kuharibiana CV namna hii?Ungekuwa uko singo mbona mie ningejilipua kwako nikamtaliki Paw? Ila na wewe una wake wengi sana bana, kukufanyia wewe kampeni ni presha sawa tu na kumfanyia kampeni baba rizmoko na linyinyiemu lake!
Ayaaaaaaaaaaa! Ndio nini kuharibiana CV namna hii?
BTW: I can be changed by what happens to me. But I refuse to be reduced by it
Baki tu kumzimikia kimya kimya, mwenzio ni baba wa familia.
Hatimaye Max leo amepata 'faida' za kuwa founder wa jf lol...
Kuna umuhimu wa kuanzisha hata ki blog kwa kweli lol
huwezi jua...
Hatimaye Max leo amepata 'faida' za kuwa founder wa jf lol...
Hi Guys!
Niende direct kwenye mada, mie ni mgenu humu jf, baada ya kujiunga na kuukubali huu mtandao nikawa na hamu ya kujua historia yake.
Katika peruziperuzi zangu ndo nikakutana na habari za maxence, baasi nimetokea kumzimia kweli huyu founder, simjui hanijui ila i always think about him toka nimfahamu habari zake. Believe it or not nimesoma post zote zinazomuhusu. Ifind everything abt the dude so sexxxy! hata kama ni mambo ya CDM jst imagine!! Bora hajaweka pic manake ingekuwa noma! I have a :mwaaah:big crush on the dude!!!
Najua wasoma risala na barua kwa mgeni rasmi wa humu jf mtaanza ohhh we mtoto wa kike haipendezi kumtongoza mwanaume blah blah blah! Leave me alone i beg ohhhh!
Seriously sasa mnanishaurije manake niliona nikimtokea privately akija kuniumbua huku mtafanya BIG DEAL bora nimuapproach hukuhuku jamvini mbele yenu ili isiwe breaking news.
Kutongoza kaumbiwa mwanaume (kumbe mnapataga tabu kutema mistari) mie wa kike nimedakia tu bt Maxence please if you are interested PM, na kama haupo interested hata match za ugenini/nje poa tu all you have to do is to PM me.
NB: Hizi ni hisia zangu tu DONT BAN ME! kupendwa bahati ati!:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:
Akikubali siemi ng'oooooo siri yetu
si unaona hata le mutuzKuna umuhimu wa kuanzisha hata ki blog kwa kweli lol
huwezi jua...