Nimetokea kumzimikia founder wa JF! Seriously is this normal other JF ladies!?

Status
Not open for further replies.
Dada nakushauri uwahi kwa Kakobe, Rwakatare au Mwingira ili uombewe hilo pepo linalokusumbua. Utamzimikiaje mtu ambaye humfahamu wajihi wake kwa maana hiyo hujui kama "is your type" !!. Labda tu, nikuulize swali, je yule uliye naye anafahamu swala hili ? Sikatai kwamba mtu huwezi kumdondokea mtu, lakini mpaka uwe umemwona kwanza.
hayo mambo ya kuonana kwanza yameanza miaka hii, dadangu mkubwa alitafutiwa mume akiwa mdogooo, familia zilipanga tu, na walikuwa hawajuani wala hawajawahi kuonana, walikuja kuoana na wanaishi raha ya starehe mpaka leo hii! so inaweza kutokea ukafall na mtu ambaye hata hujawahi kuonana naye.
 
ila nina mashaka kama amefall in love na @maxence au amefall in love na Jamiiforums..maana mjini hapa....
kwi kwi kwi kwi, mke mwenzangu mbavu zangu! khaaaaaaaaa, mbona vijiswali tena?? hivi hubby umenionea wapi, mbona zamu yangu alale kwangu toka jana hajaja mmemfungia kwenu huko?? hebu muachieni kidogo nipatiemo mautamu
 
You gotta Love JF...never boring!! :clap2:!! Hongera Lara 1 kwa kufunguka....bora umelitoa la moyoni mwana;-)
 
I see!!!
JF Kiboko lol!

Hi Guys!

Niende direct kwenye mada, mie ni mgenu humu jf, baada ya kujiunga na kuukubali huu mtandao nikawa na hamu ya kujua historia yake.

Katika peruziperuzi zangu ndo nikakutana na habari za maxence, baasi nimetokea kumzimia kweli huyu founder, simjui hanijui ila i always think about him toka nimfahamu habari zake. Believe it or not nimesoma post zote zinazomuhusu. Ifind everything abt the dude so sexxxy! hata kama ni mambo ya CDM jst imagine!! Bora hajaweka pic manake ingekuwa noma! I have a :mwaaah:big crush on the dude!!!

Najua wasoma risala na barua kwa mgeni rasmi wa humu jf mtaanza ohhh we mtoto wa kike haipendezi kumtongoza mwanaume blah blah blah! Leave me alone i beg ohhhh!

Seriously sasa mnanishaurije manake niliona nikimtokea privately akija kuniumbua huku mtafanya BIG DEAL bora nimuapproach hukuhuku jamvini mbele yenu ili isiwe breaking news.

Kutongoza kaumbiwa mwanaume (kumbe mnapataga tabu kutema mistari) mie wa kike nimedakia tu bt Maxence please if you are interested PM, na kama haupo interested hata match za ugenini/nje poa tu all you have to do is to PM me.

NB: Hizi ni hisia zangu tu DONT BAN ME! kupendwa bahati ati!:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Akikubali siemi ng'oooooo siri yetu
 
Mmh! Wifi unanitisha! Na umemjulia wapi founder wa jf kiundani hivi? Kaka ana hii taarifa?

Hahahahaha. . .wifi mbona kila kitu kiko wazi? Kwenye sherehe ya kuwapongeza Mr & Mrs Melo kwa kujaliwa ka-Jr kakako nilienda nae.
 
Hi Guys!

Niende direct kwenye mada, mie ni mgenu humu jf, baada ya kujiunga na kuukubali huu mtandao nikawa na hamu ya kujua historia yake.

Katika peruziperuzi zangu ndo nikakutana na habari za maxence, baasi nimetokea kumzimia kweli huyu founder, simjui hanijui ila i always think about him toka nimfahamu habari zake. Believe it or not nimesoma post zote zinazomuhusu. Ifind everything abt the dude so sexxxy! hata kama ni mambo ya CDM jst imagine!! Bora hajaweka pic manake ingekuwa noma! I have a :mwaaah:big crush on the dude!!!

Najua wasoma risala na barua kwa mgeni rasmi wa humu jf mtaanza ohhh we mtoto wa kike haipendezi kumtongoza mwanaume blah blah blah! Leave me alone i beg ohhhh!

Seriously sasa mnanishaurije manake niliona nikimtokea privately akija kuniumbua huku mtafanya BIG DEAL bora nimuapproach hukuhuku jamvini mbele yenu ili isiwe breaking news.

Kutongoza kaumbiwa mwanaume (kumbe mnapataga tabu kutema mistari) mie wa kike nimedakia tu bt Maxence please if you are interested PM, na kama haupo interested hata match za ugenini/nje poa tu all you have to do is to PM me.

NB: Hizi ni hisia zangu tu DONT BAN ME! kupendwa bahati ati!:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:

Akikubali siemi ng'oooooo siri yetu

Mpwa,

Hapa utaanzaisha civil war nyumbani kwa Max.........ungempa PM tu ingeokoa mengi
 
Hii ni JF inayosomwa na less than 2% ya Wabongo.
Imagine mmiliki wa Magazeti ya Global Publishers kama RISASI, WIKIENDA na mengine yanayosomwa na waswazi kibao anapendwa na wangapi!
 
Lala keshapa PM ndio maana kimyaaaaaaaaaaaaaa. Nyie endeleeni tu kumbe wahusika wameishamalizana long time
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom