Nimetokea kukupenda Sana


Nahisi hii njia inaweza kusaidia kidogo maana KILA NJIA NILIYOJARIBU KUITUMIA KUMFIKISHIA UJUMBE HAIJAFANIKIWA mara nyingi anakuwa yuko online lakini hataki kuwasiliana na mimi .LABDA AKIJA HUKU AKIKUTANA NA HUU UJUMBE ANAWEZA KUBADILIKA
 
SAYANSIKIMU nimeshakuulizaga kit kimoja............!
Chili somo bado linafundishwaga darasani kwa kipindi hiki cha ufisadi kutanda????
 
Last edited by a moderator:
Cc Dinazarde
 
Last edited by a moderator:

Hii ni mada ya kipuuzi kabisa. Haya ni mambo yako binafsi. Hayatuhusu.
 
ebhanee!, jamaa kafunguka.haya wewe mdada-------muone huruma mwana wa mwenzio.kumbuka hicho kidude ulipewa bure na mola.sio vizuri kumnyima binadamu mwenzii.
 
a.rahabu najua huwezi kuamini lakini ukweli ndo huo mrembo ------------- tuliyekutana nae kwenye lile jukwaa kashanikataa.Najua wewe ni rafiki yake basi nakuomba utupatanishe kati yangu na ------- Kwa Kuwa Wewe Ni Rafiki Yake Labda Anaweza Kukusikiliza Nisaidie Kutupatanisha Please.
 
Last edited by a moderator:
hahahaaaaaaaaaaaaa mkuu ulipotea nauliza ingawa najua hayanihusu
Hahahahahaha
Heaven on Earth hii ndio raha ya jf, huyu jamaa ni wa pekee na comment yake huwa ni hiyo hiyo!
Kwakweli huwa ana niacha hoi!
Am happy is back..........
 
Last edited by a moderator:
Tumia tigo, airtel au mpesa utampata fasta
 
Hivi utampendaje mtu usie muona? Hamjawahi kukutana na wewe kichwa juu juu eti nakupenda.

This is ridiculous
 
Hahaha naona umeamua kutumia silaha nyingine.
 
Last edited by a moderator:

Hee tena?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…