Nimetoka mpiga dalali Mbezi Luis leo

Nimetoka mpiga dalali Mbezi Luis leo

endelea kujifanya mbabe JF,lakini naamini na nina uhakika ukikaa Mahabusu siku moja tu utapungua uzito wa kilo 20 na kujuta kwa lugha zote,nimekushauri na kukuonya,acha tabia ya kurusha ngumi kwa chukizo dogo tu,time will tell

Sawa mkuu
 
Wajomba wanaboa sana hawa madalali.
Kuna siku naenda njombe wakanikatia tiketi elf 39 nikasema poa kwavile nimekaa mjini mda mrefu nauli itakua imepanda kufika kwenye gari konda akaandika kwenye ticket elf 25[emoji1787] Aloo moto uliwaka pale nikamwambia kinda andika pesa niliyolipa iende Kwa boss au la rudisheni ela yangu[emoji23] ama niende polisi ikabidi wanirudishie 11k maana nauli ni 28 ilikua

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wewe mkorofi tajir
 
Madalali wa pale wanaleta sana yaani wanakufuata na kukuukiza maswali gta ukimwambia huendi huko bado anafosi kukuukiza mahali pengine unaonda kama kwamba wewe hujui kitu. Mimi nilishawahi kumjibu naenda Qatar.

Ahahahah mshikaji umenishinda tabia
 
Dah Ilo neno nakiri hata Mimi ningerusha ngumi tena zakutosha, hii ya kuzuia hasira imenishinda.
 
Madalali wa pale wanaleta sana yaani wanakufuata na kukuukiza maswali gta ukimwambia huendi huko bado anafosi kukuukiza mahali pengine unaonda kama kwamba wewe hujui kitu. Mimi nilishawahi kumjibu naenda Qatar.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi niliambiwa najikuta wema sepetu wakati nakojoa nimechuchumaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nilicheka jamani
 
Mi niliambiwa najikuta wema sepetu wakati nakojoa nimechuchumaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nilicheka jamani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mpka mimi nimechekq sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi niliambiwa najikuta wema sepetu wakati nakojoa nimechuchumaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nilicheka jamani

Kwaio wema anakojoa amesimama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom