Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,897
- 67,394
Hellow
Leo nimepata makasririko gafla sana yaani nilikuwa naenda zangu mbezi kwa magufuli na mgeni wangu nimeshuka kwenye gari mdada anakuja unaenda wapi nikamjibu mbinguni yapo mabus? Akaniacha niendelee nasafari yangu
Mbele tena nakutana mwingine kaka wapi mdogo wetu wapi mbona hujibu mh unaharaka utafikiri unaenda kumzika baba yako ase nilichukia hilo jibu nikifikilia baba yangu kafariki kaniacha mtoto niligeuka na kofi moja akaangukia kwenye fensi
Wakaja nishika watu bila ya watu ningemfundisha adabu huwa sipendi ujinga na nachokaga sana nikiwaza kwenda kwa magufuli nikifikilia tu madalali
Leo nimepata makasririko gafla sana yaani nilikuwa naenda zangu mbezi kwa magufuli na mgeni wangu nimeshuka kwenye gari mdada anakuja unaenda wapi nikamjibu mbinguni yapo mabus? Akaniacha niendelee nasafari yangu
Mbele tena nakutana mwingine kaka wapi mdogo wetu wapi mbona hujibu mh unaharaka utafikiri unaenda kumzika baba yako ase nilichukia hilo jibu nikifikilia baba yangu kafariki kaniacha mtoto niligeuka na kofi moja akaangukia kwenye fensi
Wakaja nishika watu bila ya watu ningemfundisha adabu huwa sipendi ujinga na nachokaga sana nikiwaza kwenda kwa magufuli nikifikilia tu madalali