Nimetapeliwa mwenzenu!



Wee vipi?!!, unakuja kutupigia kelele na vijisenti vyako vya kunulia mboga hapa!!?--- mi nikadhani umetapeliwa 1m !!😏
 
Lakini si tulikubaliana kwamba hatumiwi nauli mtu? Siku nyingine tukikubaliana basi tuyaheshimu makubaliano. Ona sasa yaliyokukuta tunaonekana kama hatuna umoja
 
sasa unamwachia Mungu mambo ya upumbavu wako, eboo..!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…