Nimetapeliwa mwenzenu!

Hizi akili hizi sijui mna shida gani!!!! AMEKUAMBIA ANAHITAJI MUME; Very straightforward halafu wewe unawaza kumchezea.....

HONGERA KWAKE ingawa SIUNGI mkono kuchukua mali ya mtu...
Sasa tungeonana vipi
Ili tukamilishe lengo? Na mwali kadai hana naur?
 
Mbona nishàmtaja! Acha kukurupuka,soma post za nyuma!
 
naunga mguu hoja.

kuna vijithread naviona vya watu kuomba ushauri wa masahibu ya kimapenzi na kijamii, ukiviangalia vimekaa kiriwariwaya tu ili ti aliyepost apate umaarufu na likes, vijana wa facebook wameshaingia humu kuleta utoto
 
Mbona amemtaja juu hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio mkuu...maana umesema bi dada alikuwa anatafuta mume...mara umetuma nauli uletewe mbususu ndio nimeshindwa kuelewa
Asa huyo mume ni kwaajili ya kuchat nae JF?
Mwali alitaka nauli ili aje kupajua kwake na mambo mengine yafanyike sababu tushachart sana!
 
Una wenge
 
naunga mguu hoja.

kuna vijithread naviona vya watu kuomba ushauri wa masahibu ya kimapenzi na kijamii, ukiviangalia vimekaa kiriwariwaya tu ili ti aliyepost apate umaarufu na likes, vijana wa facebook wameshaingia humu kuleta utoto
Mkuu acha makasiriko,mbona kashatajwa,au atajwe mara ngap?
 
Asa huyo mume ni kwaajili ya kuchat nae JF?
Mwali alitaka nauli ili aje kupajua kwake na mambo mengine yafanyike sababu tushachart sana!
Kwa hiyo mkishachat sana unakuwa mume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…