Nimetandikwa kofi la uso


jichange change mkuu nikuachie ka vitz kangu mkuu uepukane na adha zisizo za lazima
 


...ah! kumbe ndiyo wewe DUNGADUNGA!
WANAKULALAMIKIA...

...Leo asubuhi nimefika ofisini nakuta my co worker analalamika, jana kapanda daladala ilikua imejaa kiasi, watu walikua wamesimama na nyuma yake alikuepo mwanaume,huyu kidume kila mara alikua anambanabana mno ingawa nafasi haikua finyu kiiiivo. walipokua wanakaribia kituoni mtu aliekua kakaa akamtahadharisha rafiki angu huyo kua asogee mbele maana kidume alikua anatoa mali zake ili amalize haja yake ya mwili hapo. kutahamaki na kugeuka anakuta njemba mtalimbo juu, dada wa watu akapiga kelele na kilichompata huyo kidume ni kichapo toka kwa watu.

jamani mi nauliza hivi hawa dunga kama wanavofahamika mtaani ni wehu,addicted to ngono au hawawezi kupata watu wao wakado hii kitu kwa ustaarabu au tatizo ni nini wandugu
 
Huyo ni Madame B ndio ana furushi la hivyo ...
badala ueleze shida zako unajigandisha aibu dogo !
 
Last edited by a moderator:
huyo ndio mwanamke , analinda heshima yake su kuchezewa na kabwera
 

mjomba tuheshimiane dungadunga babu yako kumbuka hizi ni hisia tu ukichangiwa na ugumu km ww usinihukumu
 
Hahahaaaa enaelekea ulimchoma sana teh teh muwe mnatembea na barafu...
 
dah, nimecheka sana! Pole mkubwa wa kazi. Kwani vipi lile prado lako umeshaliuza? Au umemwachia tcleverly apige udalali kidogo?

bado mkuu bei kubwa wananchi wana ogopa kuchana pochi
 
Last edited by a moderator:

Pole mkuu, uanaume mzigo kwakweli, sasa ukute huyo dada ana msambwanda kama ulivyosema halafu akakubana vizuri jamaa lazima aende mnara. Pole mkuu
 
Hahahaaaa enaelekea ulimchoma sana teh teh muwe mnatembea na barafu...

Sheikh siunajua mambo ya kushika bomba na dereva anavyo lala nayo bs dah nikawa nihisia sana kichanganykiwa dah ile kutahamki kofi dah ukwel leo siwezi kuisahau nimeshukia KWA TUMBO WAKATI NAKAA KAMANYOLA DAH
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…