Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,778
- 3,360
Patriarchy ni mfumo dume, mfume huu asilimia kubwa ya maamuzi na umiliki unakuwa chini ya mwanaume, huu ni mfumo wa kijamii ambao unaoperate katika nyanja zote za uchumi, siasa na sekta zengine.
Mwanzoni mwa miaka ya 70 kuna dhana nyingi zilianzishwa kitu ambacho kimepelekea kuleta vuguvugu la haki sawa kwa wote, mwanaume akisimama huku anakojoa mwanamke naye anataka kutumia mfumo huu, totally wrong.
Kuna effect nyingi mbaya zimeharibu utamaduni wa kidunia, uchumi na mambo mengine ambayo ukweli wa mambo sababu kuu ni kuanza haya mambo ya feminism.
Uchumi umekuwa mbovu kwa sababu ya kuruhusu mawazo ya kike/idea za kike kuingia vichwani mwa watu hivyo kutengeneza udhaifu mkubwa katika uzalishaji wa bidhaa na huduma.
Siasa zimekuwa zipo based kwa upande mmoja, hivyo kumehatarisha sana mijadala ya hoja nzito na hatimaye kumekuwa na mijadala dhaifu inayojadiliwa na wakina mama, pamoja na akina baba.
Kizazi cha hovyo kimezaliwa wengi ni wapenda slop hatushangai kauli ya Chidi Benz kuwa nusu ya wasanii wanalika, hii yote inatokana na hizi nadharia na hoja za 50/50.
#Najua watetezi wa wanawake mupo ila nimetoa hoja kwa haki yangu ya kikatiba weneye msingi wa haki ya binadamu#
Mwanzoni mwa miaka ya 70 kuna dhana nyingi zilianzishwa kitu ambacho kimepelekea kuleta vuguvugu la haki sawa kwa wote, mwanaume akisimama huku anakojoa mwanamke naye anataka kutumia mfumo huu, totally wrong.
Kuna effect nyingi mbaya zimeharibu utamaduni wa kidunia, uchumi na mambo mengine ambayo ukweli wa mambo sababu kuu ni kuanza haya mambo ya feminism.
Uchumi umekuwa mbovu kwa sababu ya kuruhusu mawazo ya kike/idea za kike kuingia vichwani mwa watu hivyo kutengeneza udhaifu mkubwa katika uzalishaji wa bidhaa na huduma.
Siasa zimekuwa zipo based kwa upande mmoja, hivyo kumehatarisha sana mijadala ya hoja nzito na hatimaye kumekuwa na mijadala dhaifu inayojadiliwa na wakina mama, pamoja na akina baba.
Kizazi cha hovyo kimezaliwa wengi ni wapenda slop hatushangai kauli ya Chidi Benz kuwa nusu ya wasanii wanalika, hii yote inatokana na hizi nadharia na hoja za 50/50.
#Najua watetezi wa wanawake mupo ila nimetoa hoja kwa haki yangu ya kikatiba weneye msingi wa haki ya binadamu#