Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Hawa watu wakati wa Dr slaa waliheshimika na Watanzania Kwa sababu walikemea ufisadi, walituorodheshea mafisadi ya Nchi yetu, Watanzania tukawaamini na kuwapenda
Ila 2015 wakatubadilikia ghafla kwanza wakamfukuza kiongozi bora Dr slaa
Wakaanza kutetea mafisadi
Wakaanza kutetea wafanyabiashara haramu kama madawa ya kulevya nk
Wakaanza kutetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu kwa wao kuhongwa dola kwenye akaunt zao
Wakaanza kutetea wahujumu uchumi
Chama chao kimekuwa kimbilio la mafisadi mfano kuna watu waliiba twiga wakaenda kuwauza nje sasa wamepewa hifadhi Chadema
Chama chao kimekuwa kitetea ushoga
Watanzania tushtuke hawa sio wenzetu tuhakikishe October tusiwape mbunge hata mmoja
Ila 2015 wakatubadilikia ghafla kwanza wakamfukuza kiongozi bora Dr slaa
Wakaanza kutetea mafisadi
Wakaanza kutetea wafanyabiashara haramu kama madawa ya kulevya nk
Wakaanza kutetea Mabeberu yatuibie raslimali zetu kwa wao kuhongwa dola kwenye akaunt zao
Wakaanza kutetea wahujumu uchumi
Chama chao kimekuwa kimbilio la mafisadi mfano kuna watu waliiba twiga wakaenda kuwauza nje sasa wamepewa hifadhi Chadema
Chama chao kimekuwa kitetea ushoga
Watanzania tushtuke hawa sio wenzetu tuhakikishe October tusiwape mbunge hata mmoja