petro matei
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 809
- 945
Yes! nimesoma kitabu chote kimenibariki sana kwa Neno la Mungu, sijaona hata Maneno au habari mbaya zilizo na viashiria vya ushoga hakika. Nimebaki najiuliza waliompa taarifa Mkuu wa mkoa JE ni rangi ya nje ya kitabu au rangi ya mipira maana pia Haina rangi za upinde wa mvua (Rainbow)
Kwa kweli mkutano huu ulikuwa pia ni fursa kwa wakazi wa tabora kibiashara pamoja na kumjua Yesu aokoaye watu.
Na pia ni hasara kwa wandaaji na kwa Kanisa pia.
https://storage2.snappages.site/PPD...swahili_2020_4C_v3.pdf?utm_source=chatgpt.com
Kwa kweli mkutano huu ulikuwa pia ni fursa kwa wakazi wa tabora kibiashara pamoja na kumjua Yesu aokoaye watu.
Na pia ni hasara kwa wandaaji na kwa Kanisa pia.
https://storage2.snappages.site/PPD...swahili_2020_4C_v3.pdf?utm_source=chatgpt.com