Nimesitisha kumuombea Rais

Utasubiri sana..haki IPI imedhurumiwa..nchi ilikosa mwenyewe mliila hadi basi..sasa kaja mzalendo mnajifanya...pu..Mb...avu Zenu....na mnanikela sana watu wa aina hii...mbona wapinzani mwenyewe wametulia...nyie sisiemu wapiga dili ndo mnashupalia utadhani mmeibiwa...this time mtakoma haibiwi MTU hapa..na maombi tuna endelea kumuombea jembe letu ,...Kiongozi mzalendo..mpenda Taifa letu...HAPA KAZI TU...
 
Nani anauhakika kua ni kweli kwamba ulikua ukimuombea? Yaani kadri siku zinavyozidi kwenda ndivyo jinsi tunavyozidi kuwafahamu ukawa halisi! Ni sifuri tu!
Ukiwafahamu UKAWA utawafanya nini.
 
Punguza mapovu hata kama una point inaweza isionekane.
 
Yeye mwenyewe siku hizi hasemi tumwombee
 
Mkuu nakeleka sana napoona watu mnaandika kwa hisia za matumbo yenu...hadi nashidwa kujizuia..nashukuru kama umeziona point..
Punguza mapovu hata kama una point inaweza isionekane.
 
Mzalendo ni Nyerere ambae alijenga Nyumba kibao kwa kodi zetu, alafu Huyo mzalendo akaja kuziuza na kuzigawa ovyo ovyo, then nakushaur uzidishe hayo maombi yako kwa siku mara mia ili viwanda vije kutoka kwa mungu wenu ambae husikiliza na hujibu kwa kumpa mema mtu batili, ubarkiwe sana, Mwisho mm sijawai kuwa chama cha majambazi,au maccm naomba unitake radhi
 
Mungu alishakasirika kwa kauli yake ya kuahidi kugeuza binadamu wenzake (kuwapeleka kwa) mashetani ili hali Mungu anashusha manabii ili binadamu wamtambue na wamuepuke shetani.Infact kiongozi unapaswa kuwa mfano wa kumuamini na kumtegemea Mungu na kuongoza watu kwa busara na hekima bila ya kuwabagua tofauti na mtazamo wake wa kibinafsi(Anapambana na wapinzani kudhoofisha ili arudi tena 2020)Na nina wasiwasi kwamba ni mtumiaji mzuri wa tiba mbadala
 
1.Ulishiriki kumpigia kampeni/kumnadi
2.Ulishiriki kumchagua
3.Shiriki kumuombea
4.Shiriki kuisoma namba
 
Mie ndio kwanza naanza maombi rasmi. Nchi inahitaji maombi yetu wote.


unamjua unayemuombea?au umekurupuka tu?mungu aache kusaidia watu Syria hukooo akusaidie mtanzania kwa makosa tuliyojitakia 2015 October
 
1.Ulishiriki kumpigia kampeni/kumnadi
2.Ulishiriki kumchagua
3.Shiriki kumuombea
4.Shiriki kuisoma namba
Hata kama nilishiriki kumnadi, anayofanya leo siyo yale aliyoahidi wakati wa kampeni.
 
"mjomba rudi mjomba, huku wanao wanalia lia,tangu umkabidhi familia anko huyu yaani hatujawahi kula hata wali wala kuku, ni mwendo wa dagaa/bamia na ugali siku nyingine tunapiga ndefu"
 
Goli la Juventus limekataliwa imeniuma sana
 
Kumwombea magu ni sawa na kumwagilia maji kisiki.
 
Sijui ni dini gani hiyo usichopata kile ulichokuwa unaomba katika maombi unaacha kuomba!
Dini ya Kujitambua hiyo. Badala ya kupoteza muda kufanya maombi, ni bora kuchakarika au angalau kuchagua viongozi ambao sio "chaguo la Mungu", (tafsiri magamba).
 
Wapo watu wanaodai wamechoka kuniombea, wewe choka tu, mimi nasonga mbere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…