mi nadhani hii stori ni ya uongo ya kutunga,KWA umri wa mama mkwe ulioutaja inawezekana mama mkwe ameshafikia MONOPAUSE kwahyo uwezo wa kuwa mjazito ni mdogo sana
Ulimgegeda mama mkwe wako??
Bujibuji na wewe yamekufika au unamfanyia mtu featuring?Mama mkwe wangu ana karibia miaka hamsini. Yeye hakuwahi kuolewa maishani mwake.
Tunaishi mkoa mmoja ila maeneo tofauti. Sasa ana ujauzito na kamwambia bintiye (mke wangu) kuwa ile mimba ni yangu. Eti nilimbaka.
Binti anataka na anataka tugawane mali. Msaada please, maana mwenyewe nimeelemewa na mawazo.
Mama mkwe wangu ana karibia miaka hamsini. Yeye hakuwahi kuolewa maishani mwake.
Tunaishi mkoa mmoja ila maeneo tofauti. Sasa ana ujauzito na kamwambia bintiye (mke wangu) kuwa ile mimba ni yangu. Eti nilimbaka.
Binti anataka na anataka tugawane mali. Msaada please, maana mwenyewe nimeelemewa na mawazo.
Hivi mimi pengine akili yangu ndogo huwa sielewi, kwani mayai ya kuku huwa hayalliwi? Au mfugaji haruhusiwi kula mayai?
Mwambie mkeo msubiri mtoto azaliwe apimwe D.N.A baada ya hapo hatua stahiki zichukuliwe.
Pole sana ....Mama mkwe wangu ana karibia miaka hamsini. Yeye hakuwahi kuolewa maishani mwake.
Tunaishi mkoa mmoja ila maeneo tofauti. Sasa ana ujauzito na kamwambia bintiye (mke wangu) kuwa ile mimba ni yangu. Eti nilimbaka.
Binti anataka na anataka tugawane mali. Msaada please, maana mwenyewe nimeelemewa na mawazo.
Soma vizuri post ya liniBujibuji nawe siku hizi unaandika chini ya kiwango hivi?