Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Mama mkwe wangu ana karibia miaka hamsini. Yeye hakuwahi kuolewa maishani mwake.
Tunaishi mkoa mmoja ila maeneo tofauti. Sasa ana ujauzito na kamwambia bintiye (mke wangu) kuwa ile mimba ni yangu. Eti nilimbaka.
Binti anataka na anataka tugawane mali. Msaada please, maana mwenyewe nimeelemewa na mawazo.
Tunaishi mkoa mmoja ila maeneo tofauti. Sasa ana ujauzito na kamwambia bintiye (mke wangu) kuwa ile mimba ni yangu. Eti nilimbaka.
Binti anataka na anataka tugawane mali. Msaada please, maana mwenyewe nimeelemewa na mawazo.