Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Safi sana clouds nilikuwa siwasikilizagi naanza sasa kuwa sikiliza
Safi sana clouds nilikuwa siwasikilizagi naanza sasa kuwa sikiliza
Munafikiri wote ni Wachaga!!!
Hata wafanye nini, tayari UKAWA wana wafuasi zaidi ya milioni 10 Tanzania nzima
NIMESIKITISHWA SANA NA KAULI YA CLOUDS FM.
Nimeingiwa na shaka na watangazaji wa clouds fm leo katika kipindi cha power breakfast baada ya kutangaza kwamba hawatatangaza habari za UKAWA eti wanawapa umaarufu leo nimejua hawa jamaa ni CCM pure!
Poor clouds fm.
NIMESIKITISHWA SANA NA KAULI YA CLOUDS FM.
Nimeingiwa na shaka na watangazaji wa clouds fm leo katika kipindi cha power breakfast baada ya kutangaza kwamba hawatatangaza habari za UKAWA eti wanawapa umaarufu leo nimejua hawa jamaa ni CCM pure!
Poor clouds fm.