GE2025 Nimesikitika sana Halima Bulembo kupitishwa Ubunge

GE2025 Nimesikitika sana Halima Bulembo kupitishwa Ubunge

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
3,192
Reaction score
7,108
Mzee Bulembo yeye ana hekima sana na Busara lakini kwa huyu Binti yake kwa kweli hapana. Halima busara yake ni sifuri(0) na ni karopokaji sana.


Mzee wetu Bulembo una watoto wengi tu wanaojitambua, sijua ni kwanini hukumchagua mmoja ndie afuate nyayo zako badala yake ukamchagua huyu Binti.

Huwa nafuatilia siasa zake naona kuna shida kubwa sana.

Anyway najua anatembelea jina lako
 
Huyo binti ni sifuri yani zero brain kabisaa..
Ila kwakua ni chakula ya duli kila kitu kinawezekana
 
Screenshot_20250802_110256_Instagram.jpg
 
Mzee kaweka watoto wake mahala pengi sana huyu.. Fighters from sifuri kazi ipo sana
 
Hata kama angekosa angeteuliwa hata kuwa DC kwa mfumo wa CCM cha mhimu tu awe hajazinguana na mteuaji
 
Huyo baba yake bora ya mtoto sitaongea Ila huyo mzee hana integrity
 
Back
Top Bottom