Nimeshushwa cheo hatimae nimewekwa friend zone, neno la faraja kwanu

heartbeats

JF-Expert Member
Feb 10, 2014
5,982
9,105
Wananzengo
Mwanamke wangu huyu hatimae leo kanipa notice yani termination without reason,
Huyu mdada nilifahamiane nae kwa bahati bahati tu mwaka jana nilikuwa nampa upendo mapenzi moto moto

Ila tangia mwezi wa ramadhani uanze nikapunguza mawasiliano nae to lowest sikuwa na sababu maalum ila nilimgaya tu nikaja amsha mawasiliano tulipanga tukalane ila kwasababu ya ubize sikupata nafasi nikawa nampa date to update

Juzi alitaka kuongea maswala ya kutiana genye nikamcrush kwamba nipo bize inshot nilijishtukia kwa kutoa boko maana alihisi simpi attention tena kwa kauli alioingoea

Yeye ni 35 mi ni early 30 ila tulikuwa vyema tu tunaheshimiana na kuwezana ila ukimya wangu naona kaamua kujihami mapema, sikujuwa kama nilimweka moyoni kiasi hiki maana nimepata ka mshtuko na kuhisi siku imeharibika

Enewei sijui ni prank au ndo nimeshushwa cheo time will tell
Ila kiukweli nina wanawake wengi kiasi kwamba nakuwa nawapa attention kwa zamu so unakuta mwingine namgaya hata wiki mbili kavu

Mshangazi wangu sitaki kuamini umenikacha ngoja nichakate kiporo changu then nimrudie anieleze vyema kwakuwa nimewekwa friend zone ntapanga siku nimwalike chakula cha jioni nipunguze kujieleza sana lwa simu

Soon ntaitaji mshangazi mwingine
 
Wananzengo
Mwanamke wangu huyu hatimae leo kanipa notice yani termination without reason,
Huyu mdada nilifahamiane nae kwa bahati bahati tu mwaka jana nilikuwa nampa upendo mapenzi moto moto

Ila tangia mwezi wa ramadhani uanze nikapunguza mawasiliano nae to lowest sikuwa na sababu maalum ila nilimgaya tu nikaja amsha mawasiliano tulipanga tukalane ila kwasababu ya ubize sikupata nafasi nikawa nampa date to update

Juzi alitaka kuongea maswala ya kutiana genye nikamcrush kwamba nipo bize inshot nilijishtukia kwa kutoa boko maana alihisi simpi attention tena kwa kauli alioingoea

Yeye ni 35 mi ni early 30 ila tulikuwa vyema tu tunaheshimiana na kuwezana ila ukimya wangu naona kaamua kujihami mapema, sikujuwa kama nilimweka moyoni kiasi hiki maana nimepata ka mshtuko na kuhisi siku imeharibika

Enewei sijui ni prank au ndo nimeshushwa cheo time will tell
Ila kiukweli nina wanawake wengi kiasi kwamba nakuwa nawapa attention kwa zamu so unakuta mwingine namgaya hata wiki mbili kavu

Mshangazi wangu sitaki kuamini umenikacha ngoja nichakate kiporo changu then nimrudie anieleze vyema kwakuwa nimewekwa friend zone ntapanga siku nimwalike chakula cha jioni nipunguze kujieleza sana lwa simu

Soon ntaitaji mshangazi mwingine
Tafuta mwingine mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom