Siku zote nuru na giza havipatani, Chadema ni Nuru, CCM ni giza, nenda zako ukaishi gizani.
Haya!!!!!!!!maajabu mengine hayo watanzania tutafakari MIMI...................NAAPA KWAMBA NITAKUWA MWAMINIFU KWA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA NA KWAMBA NITAIHESHIMU,KUILINDA NA KUITETEA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ILIYOWEKWA KWA MUJIBU WA SHERIA EE MWENYEZI MUNGU NISAIDIE!!!!!! halafu baada ya hayo unakuja kujitoa bungeni kwa kisingizio eti humtambui Rais ambaye ndiye kichwa cha hiyo jamhuri kwa mujibu wa katiba nani mnayemuwakirisha katika maamuzi hayo ya kipuuzi? nani aliyewaambia mtoke bungeni?nani mlimuuliza? kwa maana ya dhana ya serikali shirikishi ambayo mara zote ina washirikisha wananchi wake
Tafakari 1.Jamhuri gani aliyoiamini? 2.Katiba gani anayoilinda? 3.Mungu gani amsaidie?
Tafadhali acha spin. Tangu lini ulikuwa Chadema? Posts zako zote tukizikusanya zinaonyesha kukipinga chama hicho. Tumekustukia!Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
huyu siyo mwanapinduzi,hii ni njia mbadala kuliko maandamano ,ni rahisi na yenye ujumbe mzito,swala ni tume ya uchaguzi,uliza cuba castro walimfanyaje na sasa mambo yao poa.
you are not a member, a supporter , a zealot or any relation of the sort. so you are just nothing to chademaNimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Sorry JF I sent before I finished. Let those with the love this country and with the great capacity to think address carnal issues of our society. Wewe ubaki huko majuu ukijirusha, au nayo hiyo haikutoshi? What do you need here? Uraisi 2015? Anza kampeni huko UK, hamasisha wenzio kama wewe; wachadema uwaache wapambane kivyao
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Hongera sana kwa kuwa na maamuzi ya kiume
Siku zote fanya unachodhani kinakusaidia mkuu... usisikile watu wanasema, chambua sera na itikadi, fanya amuzi endelea na maisha. hiyo ndio demokrasia
On the same spirit, naomba uwe na dhamira ya kweli ya kukemea na kuepuka rushwa, ubazazi, unyanganyi, ukwepaji kodi na jitahidi sana huko uendako kuwa a "just" person. misingi ya taifa letu ni haki na usawa na wala sio itikadi ya chama
toka lini ulikuwa chadema? usirudishe kadi wiki ijayo rudisha sasa......wanafiki wengine bana!
ficha upumbavu wako, hujawahi kuwa mwanachama wa chadema ww. baki huko huko ccm ukalambe miguu ya kina EL, RA na vijisenti.Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Hii nimeipenda sana na nimecheka sana asubuhi hii. Duh, hivi mbinu hizi za kitoto bado watu wanazo au wanaleta utani ili kuchekesha watu tu. Ndugu yangu ni haki yako kabisa lakini ninaamini hujawahi kuwa mchadema bali wewe ni mccm tu unayefanya ujasusi katika jamvi hili. Hata hivyo endelea na umwambie Makamba kuwa watu siku hizi si mabwege tena na wanaitakia ccm kifo cha haraka mithili ya kile cha ebola.Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.
Nimeamua rasmi kukihama chama nilichokipenda kutokana na yaliyojiri bungeni. Narudisha kadi wiki ijayo.
Nilikipenda sana chama changu lakini kuendelea kuwa mwanachama nitakuwa siitendei haki dhamira yangu.
Nimeng'amua kwamba CCM ndicho chama makini chenye kuitakia mema nchi yangu Tanzania na kitakachoweza kuleta maendeleo ya kweli kwa kila mwananchi.
Chadema pamejaa ubinafsi na ukabila. Aidha viongozi wamekosa dira na ukomavu wa kisiasa.
Wenye mawazo kama ya kwangu juu ya Chadema mnakaribishwa CCM.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Zidumu fikra za Mwenyekiti na RAIS wetu JK.