Nimeshindwa kufanya mapenzi

Punyeto, uvutaji wa sigara, unywaji wa pombe kupita kiasi, msongo wa Mawazo. Ni baadhi ya mambo yanayochangia hilo tatizo.
 
Hata mimi hii huwa inanitokea lakini kama nawaza nchi iko chini ya CCM na kuna dalili za kutawaliwa (kufilwa) tena nao.
 
Hakuna kitu

acha punyeto kam huw unafany, pia kula vyakula vya wanga vya kutosha kma vle ugali dona, mihogo, viazi pia karang na ndizi kw wingi usisahau maji masafiiiiii kw wingi.
Hapo lazma akukubali
 

The issue is phychological...you just want it so bad. Hapo lazima update shida, jiandae ki fikra kwanza kabla hujaonana naye.usikimbilie kufanya, mkiwa wawili jaribu kuoga kwanza, punguza mawazo, kunywa maji na ujiandae kimazingira.
 
Pole sana rafiki, kinachokusumbua ni wasiwasi wakati wa tendo na huenda mazungumzo yenu ni ya kupaniana ama inawezekana huyo mwanamke alishakuambia anapendelea nini kwenye wakati wa tendo na hivyo baada ya kujitathmini ukakuta unapungua hii inakufanya upoteze kujiamini.

pengine bado unamkumbuka mpenzi wako wa awali na hivyo maandalizi yako yote huvutia hisia kwake, wakati wa tendo unakuta ni mtu mwingine na hivyo kupoteza hisia.
Tafadhali usipanie, jiamini na usiwaze waliopita na utumie kinga au mkapime VVU kuondoa wasiwasi.
 

aaaaahhhhh dogo mambo gani tena haya.? kazana kutiaaaaaa acha uvivu io ndio eshima ya mwanaume bna.
 
Ngono zembe ni hatari kwa maisha yako! Mda mwengine mizimu ya kwenu inakuepusha na matatizo! Oooh!

Mmmmh!!!!! Mizimu tena nieleweshe vizuri, sijawahi kusikia kitu kama hicho.
 
Mapenzi sio cha kula kwamba usipofanya utakufa....kama unaona unashindwa achana nayo

Kuna uwezekano wewe ukawa unagegedana kila weekend afu unamwambia mwenzako achane nayo.
 
haa haa haaa kwa hiyo kumbe imeshafwariki??

Katika dunia tunayoishi kuna mawili kugegeda au kugegedwa, ukiona moja linakushinda basi ujue upo upande wa pili.
Dudu ya Banzi ilale mahali pema peponi!!!!!!!!!!
 
usiendekeze kutiana kabla ya ndoa. kapimeni kwanza
 
Katika dunia tunayoishi kuna mawili kugegeda au kugegedwa, ukiona moja linakushinda basi ujue upo upande wa pili.
Dudu ya Banzi ilale mahali pema peponi!!!!!!!!!!

teh teh teh you meant dudu yake irest in peace? DEMBA
 
Last edited by a moderator:
usiendekeze kutiana kabla ya ndoa. kapimeni kwanza

Wadada wenye mtizamo kama huo hapo juu, ni wachache sana, kama wewe ni kweli una fikra na mtizamo huo naomba uniPM namba yako ya simu coz nawatafuta sana.
 
Katika dunia tunayoishi kuna mawili kugegeda au kugegedwa, ukiona moja linakushinda basi ujue upo upande wa pili.
Dudu ya Banzi ilale mahali pema peponi!!!!!!!!!!


teh teh teh you meant dudu yake irest in peace? DEMBA
 
Last edited by a moderator:
Katika dunia tunayoishi kuna mawili kugegeda au kugegedwa, ukiona moja linakushinda basi ujue upo upande wa pili.
Dudu ya Banzi ilale mahali pema peponi!!!!!!!!!!


teh teh teh you meant dudu yake irest in peace? DEMBA
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…