Asante kwa ushauri.
Mwambie jamaa kuwa mkewe atakaporudi achukue pubic hair akazipime DNA, zikiwa na DNA za jamaa basi atajua kuwa kweli wamepakuwa wengine, ila zikionekanika za kwako ....poleeeeeee
Time will tell....
Halafu hii defense mechanism ya kina dada inakera....yaani hata akikulengesha ukachomoa basi anasingizia kutongozwa...:mad2::mad2:
kaka ebu toa maelezo ya kujitosheleza apa plsssssssssssss
pls roy sema kwa marefu tena ukiwa wima npate kukuelewa kidogo japo ati..........hahaahahah!!
Hii tekonolojia ni ya yule sheikh wa magomeni?:confused2::confused2::confused2:
Kaka wala usijihukumu kwa issue ambayo haikuhusu, wema uliofanya usikubali kulipwa lawama, kama kweli una uhakika kuwa hujamtongoza huyo wife wa rafiki yako, why dont you tell him A-Z aamue mwenyewe kusuka au kuchana? Be wise, unless utuambie kwamba na wewe ulishachakachua hapo!! ciao
Mwambie jamaa kuwa mkewe atakaporudi achukue pubic hair akazipime DNA, zikiwa na DNA za jamaa basi atajua kuwa kweli wamepakuwa wengine, ila zikionekanika za kwako ....poleeeeeee
Tafadhali tupe shule zaidi.
Sikuwahi kuwa kuhisi kwamba ukitembea na mtu unapanda nywele zako kwake. Hebu fanya fanya utupe huu ujuzi mpya.
Deodat;
Ningekushauri pia kisirisiri umpe rafiki yako contacts za simu za watanzania wawili au watatu ; najua sababu shemeji yako, mume wake hayupo kule, watakuwa wameshaji-expose ki-aina to the extent ambayo nina shaka kama kuna mtanzania yeyote asiyejua nini kinaendelea kati ya wawili hao. Awapigie simu na watamweleza aelewe. Hasa ungejaribu kutumia wale wa kike, hasa wale walioko kwenye maisha ya ndoa na wanaishi na waume zao huko
kwani ukimweleza wewe kwa sasa atasema kwanini hukumwambia b4 pia atakuliza kama uliplay part yako katika kumshauri kutokujiattach na huyo jamaa.