Nimeshawasili ndani ya tunduru

mwalimu hajui hata vitu vya kusifia.......mahali popote ni pazuri pakiwa na miundombinu ya uhakika kama maji,umeme,hospital,barabara na network .....kuniambia ni kuzuri sababu wali nyama ni 1000 ?

Kuna watu mnajiona mnajua sana vitu...taste and preference lazima
Ziwe tofauti na usidelute profession yetu kwa feelings zako
 
We huweZI ushazoea pesa nyingi huko mnapewa rushwa mnanunua maprado, sis walimu ngumu sana na tunavumilia mengi

Mkuu huku mbwembwe tu hamna kitu unakuta mtu title kuubwa kama vile mchumi huku mshahara tgs D....

Mi kilimo ndo kinanitoa
 

mtandao gani unashika vizuri hapo tunduru?
 
Umepitia tunduru masasi if so vipi barabara ina hali gani kuanzia mangaka
 
Kuna watu mnajiona mnajua sana vitu...taste and preference lazima
Ziwe tofauti na usidelute profession yetu kwa feelings zako


Halafu anaponda huku amesahau kwamba hitaji la kwanza la binadamu ni chakula na sio miundombinu. Jamaa kusifia wali nyama buku sawa kabisa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…