Haya magari yapo Tabora kwa wingi sana, yanaitwa enzi a Mwalimu!!
Teh teh unaweza tu badili fani ulikomboe taifa letu.
Dah umenitamanisha namimi niwe mwalimu....
mwalimu hajui hata vitu vya kusifia.......mahali popote ni pazuri pakiwa na miundombinu ya uhakika kama maji,umeme,hospital,barabara na network .....kuniambia ni kuzuri sababu wali nyama ni 1000 ?
Kazi ya wito hii sio ya kila mtu
Kuna watu mnajiona mnajua sana vitu...taste and preference lazima
Ziwe tofauti na usidelute profession yetu kwa feelings zako
Kwani nami nikiitwa sitaweza mkuu?
We huweZI ushazoea pesa nyingi huko mnapewa rushwa mnanunua maprado, sis walimu ngumu sana na tunavumilia mengi
Ndugu wana JF (Jukwaa la Elimu)
Nawashukuru sana wale wote ambao walinipa taarifa juu ya wilaya hii ya Tunduru. Nawashukuru sana nimeshawasili hapa nashuhudia fahari mbakimbali zilizopo hapa kama vile:
- umeme wa uhakika kwa hapa mjini
- mitandao ya simu inashika(hadi JF ipo)
- chakula ni bei rahisi sana ( wali nyama tsh 1000)
- kuku wa kienyeji wanapatika kwa wingi ( supu pia ipo)
- Maduka ya kununua madini yapo kwa wingi sana
- biashara ya korosho imeshamili
NB
Sasa nasubiri siku ya jumanne ifike nijue nitapangiwa wapi
Walimu wenzangu ambao mmepangiwa vituo mbalimbali ni vyema mkaenda kuripoti kwanza mshuhudie hali halisi wenyewe, kuna habari za upotoshaji sana, zinazotolewa na watu ambao hawajafika maeneo husika,mf Kuna mtu aliniambia hapa Tunduru kuna simba wanatembea mchana, mpaka jioni hii nimewatafuta sijawaona
Kuna watu mnajiona mnajua sana vitu...taste and preference lazima
Ziwe tofauti na usidelute profession yetu kwa feelings zako