Nimeshawasili ndani ya tunduru

Nimeshawasili ndani ya tunduru

Mjamaa masalia

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2012
Posts
373
Reaction score
354
Ndugu wana JF (Jukwaa la Elimu)
Nawashukuru sana wale wote ambao walinipa taarifa juu ya wilaya hii ya Tunduru. Nawashukuru sana nimeshawasili hapa nashuhudia fahari mbakimbali zilizopo hapa kama vile:
  1. umeme wa uhakika kwa hapa mjini
  2. mitandao ya simu inashika(hadi JF ipo)
  3. chakula ni bei rahisi sana ( wali nyama tsh 1000)
  4. kuku wa kienyeji wanapatika kwa wingi ( supu pia ipo)
  5. Maduka ya kununua madini yapo kwa wingi sana
  6. biashara ya korosho imeshamili

NB
Sasa nasubiri siku ya jumanne ifike nijue nitapangiwa wapi
Walimu wenzangu ambao mmepangiwa vituo mbalimbali ni vyema mkaenda kuripoti kwanza mshuhudie hali halisi wenyewe, kuna habari za upotoshaji sana, zinazotolewa na watu ambao hawajafika maeneo husika,mf Kuna mtu aliniambia hapa Tunduru kuna simba wanatembea mchana, mpaka jioni hii nimewatafuta sijawaona
 
Dah umenitamanisha namimi niwe mwalimu....
 
Ndugu wana JF (Jukwaa la Elimu)
Nawashukuru sana wale wote ambao walinipa taarifa juu ya wilaya hii ya Tunduru. Nawashukuru sana nimeshawasili hapa nashuhudia fahari mbakimbali zilizopo hapa kama vile:
  1. umeme wa uhakika kwa hapa mjini
  2. mitandao ya simu inashika(hadi JF ipo)
  3. chakula ni bei rahisi sana ( wali nyama tsh 1000)
  4. kuku wa kienyeji wanapatika kwa wingi ( supu pia ipo)
  5. Maduka ya kununua madini yapo kwa wingi sana
  6. biashara ya korosho imeshamili

NB
Sasa nasubiri siku ya jumanne ifike nijue nitapangiwa wapi
Walimu wenzangu ambao mmepangiwa vituo mbalimbali ni vyema mkaenda kuripoti kwanza mshuhudie hali halisi wenyewe, kuna habari za upotoshaji sana, zinazotolewa na watu ambao hawajafika maeneo husika,mf Kuna mtu aliniambia hapa Tunduru kuna simba wanatembea mchana, mpaka jioni hii nimewatafuta sijawaona

Kuwa mwangalifu na simba wala watu huko
 
Ndugu wana JF (Jukwaa la Elimu)
Nawashukuru sana wale wote ambao walinipa taarifa juu ya wilaya hii ya Tunduru. Nawashukuru sana nimeshawasili hapa nashuhudia fahari mbakimbali zilizopo hapa kama vile:
  1. umeme wa uhakika kwa hapa mjini
  2. mitandao ya simu inashika(hadi JF ipo)
  3. chakula ni bei rahisi sana ( wali nyama tsh 1000)
  4. kuku wa kienyeji wanapatika kwa wingi ( supu pia ipo)
  5. Maduka ya kununua madini yapo kwa wingi sana
  6. biashara ya korosho imeshamili

NB
Sasa nasubiri siku ya jumanne ifike nijue nitapangiwa wapi
Walimu wenzangu ambao mmepangiwa vituo mbalimbali ni vyema mkaenda kuripoti kwanza mshuhudie hali halisi wenyewe, kuna habari za upotoshaji sana, zinazotolewa na watu ambao hawajafika maeneo husika,mf Kuna mtu aliniambia hapa Tunduru kuna simba wanatembea mchana, mpaka jioni hii nimewatafuta sijawaona

Usiwatafute Simba, wakikuhitaji watakutafuta wenyewe.
Otherwise Keep Blessed, Amini everything will be alright.
 
Usiwatafute Simba, wakikuhitaji watakutafuta wenyewe.
Otherwise Keep Blessed, Amini everything will be alright.

Ni kweli aisee, kama umetahadharishwa simba, usisubiri uwaone, just kuwa na tahadhari tu in case wakitokea.

Asidharau mamba.....
 
Mkuu hongera kufika huko. I loved Songea but they get me something else.

Ila umenishangaza kidogo, kusifia uwepo wa umeme, kuku, chakula bei ndogo. Any way, kila mtu na maoni yake.

To me the impotant things ni:

1. Uhakika wa hospitali (matibabu)

2. Usafiri wa uhakika.

3. Maji.

4. Mawasiliano yasiyo na mizengwe.

5. Fursa zilizopo.

Piga kazi mkuu, utuuzie RUBI.
 
mwalimu hajui hata vitu vya kusifia.......mahali popote ni pazuri pakiwa na miundombinu ya uhakika kama maji,umeme,hospital,barabara na network .....kuniambia ni kuzuri sababu wali nyama ni 1000 ?
 
mwalimu hajui hata vitu vya kusifia.......mahali popote ni pazuri pakiwa na miundombinu ya uhakika kama maji,umeme,hospital,barabara na network .....kuniambia ni kuzuri sababu wali nyama ni 1000 ?

Mkuu, si unafahamu tunatofautiana na kila mtu ana vipaumbele vyake? Hiyo wali nyama ilikuwa nikujaribu kupambanua dhana ya urahisi wa bei ya chakula hapa tunduru
 
Mwalimu yuko sahihi ila kwa kuwa na tabia ya kukosoa basi watu hukosoa kila taarifa Kama kafika tunduru lazima Barabara ipo Kama anatumia jf lazima network ipo Kama Kuna maduka ya madini na kuku wa kienyeji chakula kipo swala la fursa Si ndio hizo masuala yaafya ni shida nchi nzima kwangu mwalim yuko sahihi so kama Kuna kitu unataka kujua bora umuulize.
 
Ndugu wana JF (Jukwaa la Elimu)
Nawashukuru sana wale wote ambao walinipa taarifa juu ya wilaya hii ya Tunduru. Nawashukuru sana nimeshawasili hapa nashuhudia fahari mbakimbali zilizopo hapa kama vile:
  1. umeme wa uhakika kwa hapa mjini
  2. mitandao ya simu inashika(hadi JF ipo)
  3. chakula ni bei rahisi sana ( wali nyama tsh 1000)
  4. kuku wa kienyeji wanapatika kwa wingi ( supu pia ipo)
  5. Maduka ya kununua madini yapo kwa wingi sana
  6. biashara ya korosho imeshamili

NB
Sasa nasubiri siku ya jumanne ifike nijue nitapangiwa wapi
Walimu wenzangu ambao mmepangiwa vituo mbalimbali ni vyema mkaenda kuripoti kwanza mshuhudie hali halisi wenyewe, kuna habari za upotoshaji sana, zinazotolewa na watu ambao hawajafika maeneo husika,mf Kuna mtu aliniambia hapa Tunduru kuna simba wanatembea mchana, mpaka jioni hii nimewatafuta sijawaona

Ha ha ha mkuu hilo la Simba umenifurahisha sana
 
Mkuu hongera kufika huko. I loved Songea but they get me something else.

Ila umenishangaza kidogo, kusifia uwepo wa umeme, kuku, chakula bei ndogo. Any way, kila mtu na maoni yake.

To me the impotant things ni:

1. Uhakika wa hospitali (matibabu)

2. Usafiri wa uhakika.

3. Maji.

4. Mawasiliano yasiyo na mizengwe.

5. Fursa zilizopo.

Piga kazi mkuu, utuuzie RUBI.

Mkuu kwanza ahsante sana !
Pili nadhani tumetofautiana vipaumbele, kimsingi nilivyo visema hapa ni vile ambavyo watu walinitishia sana,juu ya hapa mahali mf chakula bei ghali,hakuna umeme,hakuna mawasiliano nk.
Tatu nakubaliana na mapendekezo yako lakini pia najua unakumbuka vyema Ep 306 hasa kwenye suala la motivation (intrisic & extrisic motivation) so maelezo yangu yalipigwa wingi na huu msingi
 
Nice homely place!

DSC03550.jpg

 
ngoja hiyo kesho wakupangie kijijini ndo utaijutia tunduru
 
Back
Top Bottom