habarini za kwenu, natumai mu wazima woote, kama nilivyo wahi kusema hapo nyumba kuwa kiu na nia yangu ni kufanya kazi utumishi wa umma, sasa katika nafasi za kazi walizo tangaza ewura, kuna nafasi moja nimeona inaendana na mm, na sifa wanazo zitafuta ninazo, nimeamua kutuma maombi, kwa njia ya email na posta. Naomba Mungu niwe shortlisted