Huyo ni pacha wake.nimeshangazwa kumuona Mwenyekiti Wa Taifa Tlp Lyatonga ndani ya Mkutano wa ccm huko dodoma!!
nimepigwa butwaa zaidi pale nilipomuona akiwa sehemu ya wanaccm wanao iwakilisha Kilimanjaro!
Bendera fuata upepo (hivi misukule wana kazi gani nasikia huwa wanakua km mazezeta)Ahahahahahahha dah siasa za kibongo Kama movie za kihindi aiseee yaani inabd uchekee tu sana
Huyo sio Mh. A.L Mrema...acha UZANDIKI kijana. Utashangaa vizuri siku utakapomuona Mwenyekiti wako wa Chama (Taifa) atakapokuwa Chimwaga.Nimeshangazwa kumuona Mwenyekiti wa Taifa TLP Lyatonga ndani ya Mkutano wa CCM huko Dodoma.
Nimepigwa butwaa zaidi pale nilipomuona akiwa sehemu ya wana CCM wanaoiwakilisha Kilimanjaro.