allydasmartboy
Member
- Jul 14, 2018
- 36
- 7
Mpaka sasa sijatumiwa code na vyuo vyote nilivyoomba majina wamesha toa hivi niombe tena au niombe vya private tu na wakati huo huo wenye 3 wamepata vyuo huku wenye 2 wakiwa wanaangaika na vyuo tu jamani naombeni msaada nifanye nini me