Nimesahau hela ya kununulia kiatu

Nimesahau hela ya kununulia kiatu

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Mdada na mkaka walikuwa wanapita
madukani, si mdada akakiona kiatu
kimoja kizuri, bei alfu stini.

MDADA: Mdada mweee kiatu kizuri
ningekuwa sijasahau hela nyumbani
ningekinunua, ninunulie jamani

MKAKA:Chukua hii alfu tano, kodi taxi
ukachukue hela yako sweety
nakusubiri hapahapa..!!
 
Teh teh hapo sasa kama hajasahau imekula kwake kwa aibu
 
Mdada na mkaka walikuwa wanapita
madukani, si mdada akakiona kiatu
kimoja kizuri, bei alfu stini.

MDADA: Mdada mweee kiatu kizuri
ningekuwa sijasahau hela nyumbani
ningekinunua, ninunulie jamani

MKAKA:Chukua hii alfu tano, kodi taxi
ukachukue hela yako sweety
nakusubiri hapahapa..!!
akili kumkichwa.....! teh teh tehe teh.......!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom