Nimerudi tena na simu bomba kwa bei murua

Nimerudi tena na simu bomba kwa bei murua

Hivi kuna iphone za kufoji
Hahaha umenikumbusha nikiwa china nilinunua iphone 6 kwa kama tsh 300,000 hivi kuja kucheki ina playstore ya android[emoji3][emoji3], zipo mkuu tena nyingi
 
Mie nilinunua S8 imetumika kidogo mwezi uliopita kwa 1ml.
 
Hapo Kwenye Picture Picture Ndiyo Ulikuwa Wapi Ukizipiga? gsmarena.com
Ni Nzuri Sana
 
Simu hizi ni mpya Full box yaani unatoa ganda mwenyewe. Kwa mawasiliano ni 0652971495
S8 Plus = 1,250,000/=
View attachment 724602

S8 = 1,170,000/=
View attachment 724603

Note 8 = 1,570,000/=
View attachment 724604

S7 Edge = 700,000/=
View attachment 724605

S7 = 550,000/=
View attachment 724606

S6 Edge Plus = 600,000/=
View attachment 724608

S6 Edge = 500,000/=
View attachment 724609

S6 = 450,000/=
View attachment 724610

Note 5 = 550,000/=
View attachment 724611

Note Edge = 530,000/=
View attachment 724612

Note 4 = 450,000/=
View attachment 724613

WAPENZI WA IPHONE NIMEKUJA NA HIZI

Iphone 6: 16gb...500,000
64gb...600,000

Iphone 6plus: 16...670,000
64...780,000

Iphone 6s: 16gb...680,000
64gb...750,000

Iphone 6s plus: 16gb..850,000
64gb...950,000
128gb...1,050,000

Iphone 7: 32gb...1,100,000
128gb...1,240,000

Iphone 7plus: 32...1,350,000
128...1,500,000
tupe location ya store yako tukuje au taja unapatikana wap
 
simu yangu imechoka, natamani hizo Samsung hapo ila sijui kuzitofautisha kati ya og na clone.
 
je ni sawa kijana kumiliki simu ya 1.5 m wakati chumba anachoishi ndiyo sebule ndiyo jiko ndiyo chakulala
 
je ni sawa kijana kumiliki simu ya 1.5 m wakati chumba anachoishi ndiyo sebule ndiyo jiko ndiyo chakulala
Life is how you make it.
ni kawaida kwa youngsters kwa kuwa ukute labda ndo inamuongezea kipato
 
simu yangu imechoka, natamani hizo Samsung hapo ila sijui kuzitofautisha kati ya og na clone.
Yaani ukiishika tu,fake ni fake tu,wengi wameshaga tolea maelezo juu ya kuzibaini ila tatizo hata hao watengenezaji wa hizo clone nao wanatafuta namna ya kukufanya uwaamini,cha msingi ni kuziangalia spec.zake mtandaoni na kwenye simu husika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom