donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,257
- 22,131
Wakuu,
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita nikakutana na tecno spark 2, aisee hii simu iko vizuri. Ukiacha na fact that inatumia Oreo 8.1, kwenye swala la camera aisee hii kitu iko vyema Sana. Ina 13mp rear na 8mp front lakini zote Zina flash. Pia unapatA security ya fingerprint na facial recognition. Kuhusu kutunza chaji ndio yenyewe, hakika Rudi nyumbani KUMENOGA
Sawa afisa masoko wa tecno naona umefanikiwa kufikisha tangazo kwa namna yakeWakuu,
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita nikakutana na tecno spark 2, aisee hii simu iko vizuri. Ukiacha na fact that inatumia Oreo 8.1, kwenye swala la camera aisee hii kitu iko vyema Sana. Ina 13mp rear na 8mp front lakini zote Zina flash. Pia unapatA security ya fingerprint na facial recognition. Kuhusu kutunza chaji ndio yenyewe, hakika Rudi nyumbani KUMENOGA
Kamera baada ya muda itakuwa ya HovyoWakuu,
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita nikakutana na tecno spark 2, aisee hii simu iko vizuri. Ukiacha na fact that inatumia Oreo 8.1, kwenye swala la camera aisee hii kitu iko vyema Sana. Ina 13mp rear na 8mp front lakini zote Zina flash. Pia unapatA security ya fingerprint na facial recognition. Kuhusu kutunza chaji ndio yenyewe, hakika Rudi nyumbani KUMENOGA
HqomaqjaagltaSrrTebsllkdsttbwwtkokFfderdhrtr6rkkhuyyadrhUbaya wa techno baada ya mwaka mmoja itaanza kumisbehave!
Sawa sawaeeeh...ALAAH??
Karibu sana mkuuWakuu,
Habare? Baada ya kuibiwa iPhone 6 yangu (I miss FaceTime n iMessage) na note 4 yangu kuharibika, nikaamua kutafuta any low end device angalau tu nipate access ya net. Katika pita pita nikakutana na tecno spark 2, aisee hii simu iko vizuri. Ukiacha na fact that inatumia Oreo 8.1, kwenye swala la camera aisee hii kitu iko vyema Sana. Ina 13mp rear na 8mp front lakini zote Zina flash. Pia unapatA security ya fingerprint na facial recognition. Kuhusu kutunza chaji ndio yenyewe, hakika Rudi nyumbani KUMENOGA
Karibu sana mkuu