Nimerudi home nimemkuta wife anacheza mziki akiwa utupu

Mkuu uliferi sana,
Unajua ndio maana sisi wanaume huwa tunapita mahara tunapata kongoro au nyama choma maana muda wote tuko vitani,
Baada ya kumkuta anacheza ulipaswa umpokee kwa kuimba wimbo huo huo huku nawe ukicheza kidogo,na baada ya kufunguliwa mlango ungeliendeleza hilo sebene kisha unampelekea moto ukiwa uko full shangwe,,
Baada ya hapo koga subiri kifuatacho,msosi na umbea wote uliomfanya acheze utupu ,utaekezwa bila kuuliza
 
Mkuu hakikisha umetegesha kamera hili swala likijirudia uje na picha hapa maana tunapata kazi kushauri vitu tusivyo viona
 
Ninachohofia, ni kile kioo cha bafuni kwangu... nnapojiangalia na kufurahia ile kazi ya macho yangu!
 
Issue sio uchi wake..issue kubwa ni kukatika mauno uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo.
We wa wapii? Kuna watu hamjui mapenzi nyie hahahahaaaa!! Hapo wala usingeshangaa, ungeanza kula chakula chako bila hata kunawa mikono🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaan ningekua wewe ninge subiri usiku , taa ya rangi wewe on your coach halafu unamwambia dance for me baby 😁😁

Tatizo kuku wa uswahilini
 
Mkuu uliferi sana,
Unajua ndio maana sisi wanaume huwa tunapita mahara tunapata kongoro au nyama choma maana muda wote tuko vitani,
Baada ya kumkuta anacheza ulipaswa umpokee kwa kuimba wimbo huo huo huku nawe ukicheza kidogo,na baada ya kufunguliwa mlango ungeliendeleza hilo sebene kisha unampelekea moto ukiwa uko full shangwe,,
Baada ya hapo koga subiri kifuatacho,msosi na umbea wote uliomfanya acheze utupu ,utaekezwa bila kuuliza
Yani hakikaa ndo siku ambayoo angepigwaa mbupu mpaka ahisi kifafaa..

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kwema?

Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.

Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?

Hahahhahaha, mkuu inawezekana yeye ndo anaishi na chizi

Kawaida sana kwa wadada mkuu hata kujimanua kwenye kioo

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom