Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,709
- 47,242
Hebu waambie banah umuhimu wa kioo kwa mwanamkekuna watu mnafanya maisha yawe serious sana yaani kucheza huku anajiangalia ndiyo issue??
Hebu waambie banah umuhimu wa kioo kwa mwanamkekuna watu mnafanya maisha yawe serious sana yaani kucheza huku anajiangalia ndiyo issue??
Muhimu sanaamapaka shume hamkosi duuuu
umenishinda tabia mkuu acha kumrusha roho mwenzioMuhimu sanaa
We wa wapii? Kuna watu hamjui mapenzi nyie hahahahaaaa!! Hapo wala usingeshangaa, ungeanza kula chakula chako bila hata kunawa mikono🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Issue sio uchi wake..issue kubwa ni kukatika mauno uchi wa mnyama huku anajiangalia kwenye kioo.
hatuwezi kosekana duniani kuleta balanceumenishinda tabia mkuu acha kumrusha roho mwenzio
Wewe mwanaume?Hahaha ukiwa uchi Raha sana
Yani hakikaa ndo siku ambayoo angepigwaa mbupu mpaka ahisi kifafaa..Mkuu uliferi sana,
Unajua ndio maana sisi wanaume huwa tunapita mahara tunapata kongoro au nyama choma maana muda wote tuko vitani,
Baada ya kumkuta anacheza ulipaswa umpokee kwa kuimba wimbo huo huo huku nawe ukicheza kidogo,na baada ya kufunguliwa mlango ungeliendeleza hilo sebene kisha unampelekea moto ukiwa uko full shangwe,,
Baada ya hapo koga subiri kifuatacho,msosi na umbea wote uliomfanya acheze utupu ,utaekezwa bila kuuliza
Huyu Mwanamume mleta uzi ni Mshamba kweli kweli..... Halafu Kama Anachosha Haraka Hiviiiii😂Karibuba 80% ya wanawake wanapenda kujitazama maumbo yao kwenye vioo. Na ni lazma akatike kwa namna yoyote ile.
Hahahahaaaa wewe mweu kweliMkuu hakikisha umetegesha kamera hili swala likijirudia uje na picha hapa maana tunapata kazi kushauri vitu tusivyo viona
Unamuelezeaje mleta mada angekua ndiyo mumeoHuyu Mwanamume mleta uzi ni Mshamba kweli kweli
Hahahahaaaahatuwezi kosekana duniani kuleta balance
Unaniogopa kwani mkuuHahahahaaaa
Wakuu kwema?
Jana jioni nimetoka kwenye shughuli zangu, kufika home nikakuta wife amejifungia chumbani akiwa anacheza mziki akiwa uchi wa mnyana huku anajiangalia kwenye kioo cha kwenye dressing table.
Ni jambo la kawaida kweli hili wakuu au naishi na chizi?
Hahahahaaaa Tena ukiwa uchi raha Kama zote full kujiachia huku unajiangalia kwa kiooWewe mwanaume?