Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Kwani kuna shida gani kama yupo mwenyewe ndani na amejifungia... yaani kama itokee siku moja watu wachache waonyeshwe kinachoendelea kwenye majumba ya watu, wangebaki hata huyu mzee au huyu mama nae anafanyaga hivi, unamkuta mdingi wanakimbizana ndani kama watoto wadogo, ulitakiwa na wewe uvue alafu unafanya kama unambashia hivi kwa nyuma