Mimi nimtumiaji wa ving'amuzi vya easy tv kwa muda mrefu na ni vingamuzi vizuri saaana na channel za local zipo[Tz]zote.
Kinacho niudhi kwa sasa ni hawa wamiliki hawatafuti mawakala wa kuuza vocha zao. Nimehamia kigamboni hakuna mawakala kabisa. Nawashauri uongozi kama wanapita huku wasambaze mawakala kila kona kama walivyofanya star time.
La sivyo tutawakimbia.
Kinacho niudhi kwa sasa ni hawa wamiliki hawatafuti mawakala wa kuuza vocha zao. Nimehamia kigamboni hakuna mawakala kabisa. Nawashauri uongozi kama wanapita huku wasambaze mawakala kila kona kama walivyofanya star time.
La sivyo tutawakimbia.