mysteryman
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 977
- 176
Nimepoteza kipenzi cha muaba tanzania...nimepoteza mukanda wa kiuno......sio almasi sio dhahabu ni ishara ya usajili...jina lakee hidaya........dah hii nyimbo ni miongoni mwa nyimbo zinazonikumbusha mbali sana na huisi kulia kila nikiisikiliza kwa kweli.....r.i.p pepe kalle baba lao