Nimepoteza msisimko wa mapenzi

Asante mkuu ntaufanyia kazi ushauri wako....
 
Si ungemulliza mama yako au aunt yako, kwa sms au voice call, au unatafuta soko hapa? nauliza tu
Yes mkuu tena ninekutarget wewe mwenyew kama customer wangu ...karibu sana
 
Kunywa dazban itakusaidie sana hilo tatizo
 
Mtoa maada tafuta mtu mwenye pesa awe anakuhonga pesa za kutosha kama no dewji hakika ukimuona tu kabla ya ku do ushalowa chapa chapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…