Secret Star
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 1,708
- 1,553
Habari ndugu,
Kifupi nina tatizo hivyo naomba msaada wa ushauri, nimepoteza bima ya afya na nina tatizo hivyo inatakiwa nifanyiwe operation haraka iwezekanavyo! Hivyo naomba ushauri wa kujua njia ninazoweza kuzifuata ili niweze kurew tena bima upesi ili niweze kupata huduma.
Nitashukuru kwa watakaonishauri juu ya hili.
Kifupi nina tatizo hivyo naomba msaada wa ushauri, nimepoteza bima ya afya na nina tatizo hivyo inatakiwa nifanyiwe operation haraka iwezekanavyo! Hivyo naomba ushauri wa kujua njia ninazoweza kuzifuata ili niweze kurew tena bima upesi ili niweze kupata huduma.
Nitashukuru kwa watakaonishauri juu ya hili.