rajiih
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 462
- 688
Habari wana JF,
Poleni na majukumu ya kazi.
Twende kwenye maada husika Mimi ni machinga mdogo pale Soko la Karume kwa mara kadhaa nmekua nikikubwa na msukosuko wa kubebewa Nguo zangu na hawa Askari Jiji Sina wa kumlaumu zaidi ya serikali yangu kwani wamevunja mabanda wakapora vilivyomo kisha wakapiga stop uuzaji mbele ya hizi kingo za barabara.
Tukakubali ikabidi kwa kutafuta ridhiki tuwe tunashika mikononi napo wanakuja kutupora na kudai Faini kubwa mnoo hii sio sawa Mkuu wa mkoa na Rais wake waweke malipo ya kila mwezi kwa vijana kama posho maana tunajitahidi mno lakini matokeo yake ni kuibiwa tena na vijana wanaotumwa na serikali yetu.
Poleni na majukumu ya kazi.
Twende kwenye maada husika Mimi ni machinga mdogo pale Soko la Karume kwa mara kadhaa nmekua nikikubwa na msukosuko wa kubebewa Nguo zangu na hawa Askari Jiji Sina wa kumlaumu zaidi ya serikali yangu kwani wamevunja mabanda wakapora vilivyomo kisha wakapiga stop uuzaji mbele ya hizi kingo za barabara.
Tukakubali ikabidi kwa kutafuta ridhiki tuwe tunashika mikononi napo wanakuja kutupora na kudai Faini kubwa mnoo hii sio sawa Mkuu wa mkoa na Rais wake waweke malipo ya kila mwezi kwa vijana kama posho maana tunajitahidi mno lakini matokeo yake ni kuibiwa tena na vijana wanaotumwa na serikali yetu.