Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,392
- 8,295
Mkuu juzi nimeona umemwambia mtu kuhusu matibabu ya kitunguu Swaumu dhidi ya malaria sugu kwakweli nimeitumia na siku ya pili leo naona niko fiti sana.Cha ajabu na uume wangu leo usiku mzima ulikuwa umesimama mpaka nikaona kero na ikabidi nichukue maji baridi sana kwenye jokofu na kuimwagia ndipo nikapata nafuu na kulala usingizi,vipi na huko inaimarisha nini??
kwani ulikuwa hujuwi kuwa kitunguu swaumu ni tiba namba 1 ya tatizo la nguvu za kiume?
naamini tumbo liliwaka moto....pia nyumbani paligeuka mkoa wa Mtwara(full magesi)
Hahahaaa mgonjwa kapona,kwani ulitumia vitungu kiasi gani? na ulichanganya na nini?
Una post 1958
Rep power 2157217
Likes received 297
Likes given 0
Mkuu jitahidi kutoa like tafadhali. Huna hata moja?
dooooooh!
We remote kuku tetea koootee umesababisha nimepigwa ban nimefunguliwa Leo kaka.
Mkuu pilipili kichaa Mimi Sina jina lingine zaidi ya hilo jina langu MziziMkavu Hauchimbwi dawa na ukiweza Tembelea Blog yangu utapata faida tele bonyeza hapa Mzizi MkavuJanja ya nyani kula hindi bichi, ni ujanja wa kuuza dawa za mti mkavu tu hapa na inawezekana ni mtu huyo hoyo kwa majina tofauti anacheza na akili za wenye akili!
Ma2mizi yake yakoje mkuu?
Janja ya nyani kula hindi bichi, ni ujanja wa kuuza dawa za mti mkavu tu hapa na inawezekana ni mtu huyo hoyo kwa majina tofauti anacheza na akili za wenye akili!
Mkuu pilipili kichaa Mimi Sina jina lingine zaidi ya hilo jina langu MziziMkavu Hauchimbwi dawa na ukiweza Tembelea Blog yangu utapata faida tele bonyeza hapa Mzizi Mkavu
Asante Mkuu kwa kunipa Feedback kwa watu wengine hawajuwi Blog yangu wanitembele kwa kubonyeza hapa Mzizi MkavuMkuu MziziMkavu nimetembelea Blog yako. Hakika ni muhimu kila anayependa afya yake atembelee kule ili pia familia yake ikae sawa. Itakuwa ni one of my favourite. Asante sana ubarikiwe.
Kongole...Asante Mkuu kwa kunipa Feedback kwa watu wengine hawajuwi Blog yangu wanitembele kwa kubonyeza hapa Mzizi Mkavu