Nimepokonywa simu yangu na polisi

Nimepokonywa simu yangu na polisi

Muwage mnajisomea na nyie Mara kwa Mara, mambo ya kushinda kwenye facebook, whatsapp, sijui nstgram na nini vile haijengi uelewa hata wa mambo madogo madogo tu! Sasa elimu mpaka chuo kikuu bado hujui OCS ni nani? Huyo ni Mkuu wa kituo ni kifupi cha Officer Commanding Station, mwingine anaitwa OC-CID (Officer Commanding CID), OCD (Officer Commanding District). Hivi vitakusaidia siku nyingine!

1.kwan Husiposhnda FB,Instragram na twitter ndo unakuwa Jiniaz?

2.kujua kirefu cha hizo herufi sio ishara ya kuwa mwerevu na kusoma sana mpaka chuo, hata usome mpaka vyuo vya sayari zote bado kuna mambo utasubiri wajuzi waanze!!

NB:Mtoa mada hajazungumzia level yake ya elim kama ni chuo au la!

Jigo
 
Hiyo sentensi yako ya kwanza kabisa ndio iliyomgharimu jamaa.
Nisingewaelewa, kirahisi rahisi tu ni rudi nyumbani bila ya simu!!, eti mpaka waone risiti!!
Kuna watu kweli wapo Duniani hapa kwa ajili ya kuonewa tu.
Nae amtafute kilaza mwezie amkandamize
 
Unaweza kukuta waliochukua hiyo simu ni matapeli tu sio mapolice wala nini.
Mkuu punguza uoga, siku nyingine police wakikusimamisha usitetemeke.
 
Taja ni kituo gani cha polisi,,,,watu wakusaidie kaka
 
Back
Top Bottom