digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 10,405
- 22,965
Lengo kubwa ilikuwa kufanya vacination ya HBV na ndio haya mambo yakatokea ..in short namuachie Mungu cna cha kusema
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu soma vizuri sijamshambulia mtoa mada hata sehemu moja...Kwa maneno haya mkuu kwanini wewe usituambie unachokijua ili tupime nani ni mweupe kichwani kumshambulia mtoa mada ten pernonal haukutenda haki dhidi yake.
Wewe umejiunga mwaka 2016 unanijuwa mimi ninaleta Utani? Tangu lini nikaleta utani katika jambo lililo gumu na zito kama hili? Wewe una miaka 3 hunijuwi sikujuwi mimi nina miaka 10 humu jamvini waulize watu wanao nijuwa humu jamvini mimi ni nani katika Jamiif Forums hii? Sipendagi kutoa ushauri wa utani katika maradhi. Kijana Jaribu kunifuatilia upate faida toka kwangu mimi. Umri wangu hauniruhusu kuleta mambo ya utani haswa linapokuwa tatizo zito la ugonjwa kijana kaa mbali na mimi .
Mkuu ni kweli lakini Dawa za kutibu Maradhi ya homa ya ini aka Hepatitits B Virus , Maradhi ya Saratani na Maradhi ya Ukimwi aka HIV dawa ninazinunuwa toka nje Ya Tanzania na huko ninako agiza Dawa huwa nina nunuwa kwa pesa ya Dollar sio kwa pesa ya Shilingi. na Ndio maana bei ya dawa zangu ni ghali gharama ya ununuzi na gharama ya usafirishaji mpaka zikufikie ina ni-Coast mimi ninaye kuletea hizo dawa. Laiti dawa zingelikuwa zinapatikana hapo Tanzania isingelikuwa bei kubwa.Ila mkuu angalia bei zako sio rafiki kabisa kwa mfuko wa mtanzania
Mbaya zaidi pamoja na hiyo bei dawa nyingine hazifanyi kazi.Huyu jamaa ni fala dawa anauza milioni 10,huyu ni tapeli Ni mjanja mjanja kifupi Ni tapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ukimwi Sio Ugonjwa Maana ya neno (Ukimwi) ni UPUNGUFU WA KINGA ZA MWILI (UKIMWI) AU (HIV) Hakuna Ugonjwa duniani unaitwa Ugonjwa wa Ukimwi. kwa imani yangu mimi ya Dini kama ni Muislam (HAKUNA MARADHI YASIYO KUWA NA DAWA YAKE)Hakuna ugonjwa ambao wewe mtu huwezi kuutibu!! Bila shaka hadi UKIMWI unatibu!
Hatari Sana!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Shusha hizo hints hapa mkuu. Achana na dokta wa nyambariHuna unalojua wewe , issue ndogo ya Hepatitis B inakutoa Jasho na ukute ni mtu kasomeshwa kwa Kodi zetu wananchi..
Unashindwa ku-argue kwa hoja unakimbilia eti "Mimi navifanyia kazi daily"
Kuna mzungu mmoja ni daktari ambae najua wewe mpaka kifo chako huwezi fikia status yake kwenye masuala ya afya alinipa hizo hints na ni kweli Zina logic na kumake sense...
Sasa wewe daktari wa vitini na notes za nyambali nyangwine ukute chuo umesomea hapo St Joseph unajiona unajua kila kitu kumbe mweupe Kama unga kichwani ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu huyu Kijana kwa jina clecla said: hanijuwi kabisa katika hili jukwaa anafikiri mimi ninakurupia Topic za watu pasipo na kuwa na elimu na kile ninacho sema huyu Bwana mdogo clecla said: ana kama miezi 6 humu jamvini anaropoka ovyo kama mtu wa miaka mingi humu jamvini mtoto mdogo. Ninafikiri ninaweza hata kumzaa. Mwache aropoke kama mtu aliyekunywa maji chooni.Mpumbepumbe huyu.Mtake radhi MziziMkavu maana sio muhuni kwa nimjuavyo Mimi,ni MTU wa tiba asilia ,so ungemshauri tu nasio kumuita muhuni,huenda wewe labda ni mgeni jf lakini mzizimkavu ni mkongwe humu most of jf members wanamjua
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu achana na hayo ma -ARVs...
Hepatitis B ikiwa kwenye stage ya awali inaponywa kwa lishe tu ... Piga lishe Safi halafu nenda kapime baada ya muda utakuja niletea ushuhuda hapa...
Mimi nimewahi pima na nikawa negative nikapata hizo sindano za chanjo tatu ... Ya mwisho namalizia mwezi January mwakani. Huyo daktari niliongea nae Sana kwanini wanatoa ARVs ... Wanatoa Kama supplement ya lishe kwa mgonjwa ambae Hana uwezo wa mlo kamili ... Ila Kama una uwezo lishe kamili hauna haja ya kumeza hayo madawa...
Nakushauri ongea na Huyo daktari wako Kama iko kwenye stage ya awali upige mlo kamili ... Hizo ARVs ndugu yangu sitaki kuelezea Sana ila Kama ungejua side effects zake usingetaka hata zisikia...
Fuatilia vifo vingi vya wanaotumia wanakufa kwa either mapafu, ini, figo n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Huna unalojua wewe , issue ndogo ya Hepatitis B inakutoa Jasho na ukute ni mtu kasomeshwa kwa Kodi zetu wananchi..
Unashindwa ku-argue kwa hoja unakimbilia eti "Mimi navifanyia kazi daily"
Kuna mzungu mmoja ni daktari ambae najua wewe mpaka kifo chako huwezi fikia status yake kwenye masuala ya afya alinipa hizo hints na ni kweli Zina logic na kumake sense...
Sasa wewe daktari wa vitini na notes za nyambali nyangwine ukute chuo umesomea hapo St Joseph unajiona unajua kila kitu kumbe mweupe Kama unga kichwani ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule jamaa kilichomuua ni pancreatic cancer na si Hepatitis B infection...Yesu wangu.....hiyo hepatitis B ninavyouogopa yaani nshamkumbuka Fork ( member aliyekufa na huo uginjwa). Mzee fatilia kila wanalokwambia
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Rafiki hilo gonjwa halina tiba, nenda kapate chanjo!
..mkuu ukishakuwa positive pale muhimbil wanakufanyia extra vipimo vya kujua km n chronic or acute...nmetoka kulipia lak 6.5 kwa ajil ya ivo vipimo for my relative na NHIF haitumik hapo
Rafiki hilo gonjwa halina tiba, nenda kapate chanjo!
Ni kweli mkuu,nilipoenda kuchukua dawa ,nilikutana na jopo la Madaktari wakanishauri nisichukue dawa, ni maintain diet alafu niende Mhimbili kwa ajili ya vipimo zaid,lkn ya kwangu nadhani ni acute coz cjaona dalili yoyote.
How sure are you? unajua umekaa na ugonjwa kwa muda gani kabla ya kuugundua ulipoenda for a test?Ni kweli mkuu,nilipoenda kuchukua dawa ,nilikutana na jopo la Madaktari wakanishauri nisichukue dawa, ni maintain diet alafu niende Mhimbili kwa ajili ya vipimo zaid,lkn ya kwangu nadhani ni acute coz cjaona dalili yoyote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa ni fala dawa anauza milioni 10,huyu ni tapeli Ni mjanja mjanja kifupi Ni tapeli.
Sent using Jamii Forums mobile app