Si bure. Lazima unawajua wahindi wewe.
Wahindi wa st Joseph bila shaka pia mkuu...
Si bure. Lazima unawajua wahindi wewe.
Magufuli amepanic badala ya kuongea mambo yake, anaanza kuongea uongo kuwa ukawa haina ilani! Nae kaingia kwenye mkumbo wa mipashoNamkubari lowassa anayofanya ndiyo raha ya siasa. Siasa cyo kupanda jukwaan na kuropoka ropoka tu juu ya upinzan
naona wanasisiemi wakijitaidi kumshutumu raisi wangu anaengoja kuapishwa kila kukicha na sababu zao za ovyo. sasa nasema nyie sisiemu katafuteni wa kuwabadiri akili matahaila mnaowapa flana za kijani,ubwabwa na buku tano per day na sio watu wanaojielewa na wenye uchungu na tanzania yao..
Ilani ya CCM ukiiunguza unaweza kuivisha maharage
unawafahamu wale wanyama wanaozaliana kwa wingi kule serengeti?? basi wao hufanya maamuzi kama haya; hata wakiona mwenzao kaliwa na mamba hua wanapita hapo hapo na wao kuliwa na mamba.