nimependa kiswahili cha Obama..!

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
27,638
Reaction score
62,534
kasema habari zenyu bhaaana!!?..halafu kamalizia kwa kusema asante, asanteni sana. pamoja na kujiforce kuongea kiswahili lakini mwenyeji wake mwanzo mwisho wa hotuba yake hajaongea neno la kiswahili. Ni aibu kwa waswahili. mia
 
shangaa nawewe...na uhakika angekuwa kenya alafu mwai kibaki atoe hutuba nae jukwaa moja angechekesha angalau kwa kiswahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…