figganigga Platinum Member Joined Oct 17, 2010 Posts 27,638 Reaction score 62,534 Jul 1, 2013 #1 kasema habari zenyu bhaaana!!?..halafu kamalizia kwa kusema asante, asanteni sana. pamoja na kujiforce kuongea kiswahili lakini mwenyeji wake mwanzo mwisho wa hotuba yake hajaongea neno la kiswahili. Ni aibu kwa waswahili. mia
kasema habari zenyu bhaaana!!?..halafu kamalizia kwa kusema asante, asanteni sana. pamoja na kujiforce kuongea kiswahili lakini mwenyeji wake mwanzo mwisho wa hotuba yake hajaongea neno la kiswahili. Ni aibu kwa waswahili. mia
shanature JF-Expert Member Joined Nov 15, 2010 Posts 1,958 Reaction score 1,864 Jul 1, 2013 #2 shangaa nawewe...na uhakika angekuwa kenya alafu mwai kibaki atoe hutuba nae jukwaa moja angechekesha angalau kwa kiswahili
shangaa nawewe...na uhakika angekuwa kenya alafu mwai kibaki atoe hutuba nae jukwaa moja angechekesha angalau kwa kiswahili
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 371,722 Reaction score 861,059 Jul 2, 2013 #3 Mwana anaugua usongombingo