Nimepatwa na majanga

  • Awaishwe kwenye maombi. Ana pepo mchafu sio akili yake hiyo
 
lahaula! Wonders never end, mpeleke guinnes wakamrekodi, ajabu la dunia
 

Naungana na wewe 100% huyo jamaa anafanya kazi ya kulisha jini na hatafanikiwa mambo yake yataharibika zaidi!!
 
Ina maana WW haunyonyi na kumeza?
zombie karibia anakuacha shostingo. Kwa mguu sawa
 

Alaaa!!
Basi kazi ipo!
 
Kabla ya kutoka uwe unamuwekea kwenye kikombe ili asisake wengine
 
mpeleke akaombewe huyo si buree aiseee mapepo yatakuwa yanamsumbua.
 
kaka hilo janga afadhali angekua teja wa sembe ss ye teja sperms hta kinyaa hana.sidhani kama utapata ushauri wa maana hyo isue mpya!!lo
 
Ana lijini mahaba na limemkamata kweli. Peleka kwa watumishi wa Mungu.
 

Nakubaliana na wewe kwa asilimia nyingi sana kiupande wa kiroho.
Either way yani kidunia-wise, ana ukosefu wa mambo flani mwilini kwaiyo analipizia na spermz anazokunywa,
 
He he he, ngumuu sana kumesa. Na ninakaa mguu sawa hivyo hivyo, ole wake atishie kutafuta wa kumesa, namtengua miguu yote mitatu.

Ina maana WW haunyonyi na kumeza?
zombie karibia anakuacha shostingo. Kwa mguu sawa
 
Naungana na wewe 100% huyo jamaa anafanya kazi ya kulisha jini na hatafanikiwa mambo yake yataharibika zaidi!!

Anamuongezea rutuba kwenye matatizo yake na kuimarisha failures za jamaa,kila wanapojamiiana.maombi yanaitajikaa
 
Mh! Hii kesi hata mfalme Suleiman na hekima zake zote ingemshinda.

Ila huyo binti ni genius aisee,maana kafanikiwa kutafuta sababu nzuri kabisa ya kufanya justification ya usaliti wake.Kwahyo kama anataka sperms ndio aende kwa wengine?!! Wewe huwezi kuzitoa hizo sperms kwa siku mara mbili?!! Au yeye anazihitaji kila baada ya saa moja?

Siku shinda naye siku nzima uone kama atatokwa na hilo jasho la kujitaji sperms
 
He he he, ngumuu sana kumesa. Na ninakaa mguu sawa hivyo hivyo, ole wake atishie kutafuta wa kumesa, namtengua miguu yote mitatu.

Hadi uje umtegue atakuwa tayari keshampata na zimemezwa nyingi.
 
Teh teh teh! hii chiboko!
ushauri mzuri; meza supershaft au muku kila unapokutana nae! au fuga mbwa dume make inasemekana wanamwaga zaidi ya mara60 kwa trip moja!
 
Nakusikitikia kwa kuwa muda si mrefu kama si sasa unaweza kuwa mgumba kwa mbegu zako za kiume kuwa chakula cha majini...

Your so called girlfriend kwa hakika anamilikiwa na roho chafu ndani yake na ndio zimleteazo hiyo kiu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…